Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Caro anadunda na yuko bomba sana tu.Duka lake sasa ni Real Estate Agency nadhani ya akina Paul Rupia as you may know mdogo wa Caro is married into the Rupia family.
Mwenyezi mungu amzidishie umri mrefu na afya njema. Habari njema hizi.