Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Bang ndio gazeti gani hilo? la bongofleva?
...NN hujarudi 'nyumbani' miaka mingi nini? Bang ni gazeti la ma -'celebrity' wa Bongo...
Bang ndio gazeti gani hilo? la bongofleva?
Skykes nimemsikia enzi hizo lakini never meet na ma-dj akina marehemu Kalikali,Choggy sly nk
...NN hujarudi 'nyumbani' miaka mingi nini? Bang ni gazeti la ma -'celebrity' wa Bongo...
Mwamanga mmoja ndiye aliyekuwepo katika initial steps wakati mdogo wake akiwa masomoni kwa zuma. Alimuingiza kwenye waanzilishi tuIla wapo waanzilishi ambao ukitajiwa utashangaa na kujiuliza wapo wapi
Sykes mmoja ni yule aliekuwa Mayor wa Jiji la Dar na Mwingine ni baba yake dully sykes ambae alikuwa Musician, the two of the are related na wote ni ma selebriti ki aina yao kwa wakati huo, si hasha mpaka leo, once a celeb always a celeb
Huyo mzungu kwenye cover ni nani bongo?
Huyo mzungu kwenye cover ni nani bongo?
Kweli ujafa ujaumbika nakumbuka enzi zile ukienda kiwanja safu ya bad boyz Dj's Franco, Mao na marehemu Abeli Siwale.
Mwenyezi mungu amponye Franco
Masikini Abel SIWALE mungu amlaze mahali pema peponi bado kuna akina marehemu patranco,Hans yule alikuwa anachezea Pazi i think basletball enzi hizo hawa wote maceleb wa zamani.
Caro anadunda na yuko bomba sana tu.Duka lake sasa ni Real Estate Agency nadhani ya akina Paul Rupia as you may know mdogo wa Caro is married into the Rupia family.
wos,
mdogo wake carol, is that ann, who went to ist dar?
Kweli ujafa ujaumbika nakumbuka enzi zile ukienda kiwanja safu ya bad boyz Dj's Franco, Mao na marehemu Abeli Siwale.
Mwenyezi mungu amponye Franco
Actual DSM mimi ndiyo nilikuwa anmfikiria huyo Dully Skykes si ndiyo yule artist wa bongo flava?.
I thought yupo NY city...we unamuongelea mwingine sio Mao Lwangisamao anakula book tumaini university dar
I thought yupo NY city...we unamuongelea mwingine sio Mao Lwangisa
Atakuwa anamuongelea Mao Wambura.
Nyie subirini vibabu vinoko vione mnataja watu majina na sehemu walizopo...mtakoma