Abdi Msomali

Bang ndio gazeti gani hilo? la bongofleva?

...NN hujarudi 'nyumbani' miaka mingi nini? Bang ni gazeti la ma -'celebrity' wa Bongo...

bang-cover.jpg


Bang!%20Magazine%20Issue%2020%20Cover.jpg
 
Skykes nimemsikia enzi hizo lakini never meet na ma-dj akina marehemu Kalikali,Choggy sly nk

Sykes mmoja ni yule aliekuwa Mayor wa Jiji la Dar na Mwingine ni baba yake dully sykes ambae alikuwa Musician, the two of the are related na wote ni ma selebriti ki aina yao kwa wakati huo, si hasha mpaka leo, once a celeb always a celeb
 
Mwamanga mmoja ndiye aliyekuwepo katika initial steps wakati mdogo wake akiwa masomoni kwa zuma. Alimuingiza kwenye waanzilishi tuIla wapo waanzilishi ambao ukitajiwa utashangaa na kujiuliza wapo wapi


Oh ok so dada mtu ndiyo alianza na hao waanzilishi wengine?all in all nimelipenda sana gazeti lao lipo juu kwa mazingira ya kibongobongo wanajitahidi na naona wako exposed kidogo.
Naona Imelda Mwamanga alikuwa huku USA like few weeks ago,i assume itakuwa kikazi na mambo ya gazeti ndiyo maceleb wetu wao.Tupo pamoja.
 
Sykes mmoja ni yule aliekuwa Mayor wa Jiji la Dar na Mwingine ni baba yake dully sykes ambae alikuwa Musician, the two of the are related na wote ni ma selebriti ki aina yao kwa wakati huo, si hasha mpaka leo, once a celeb always a celeb

Actual DSM mimi ndiyo nilikuwa anmfikiria huyo Dully Skykes si ndiyo yule artist wa bongo flava?.
 
Kweli ujafa ujaumbika nakumbuka enzi zile ukienda kiwanja safu ya bad boyz Dj's Franco, Mao na marehemu Abeli Siwale.
Mwenyezi mungu amponye Franco
 
Kweli ujafa ujaumbika nakumbuka enzi zile ukienda kiwanja safu ya bad boyz Dj's Franco, Mao na marehemu Abeli Siwale.
Mwenyezi mungu amponye Franco

Masikini Abel SIWALE mungu amlaze mahali pema peponi bado kuna akina marehemu patranco,Hans yule alikuwa anachezea Pazi i think basletball enzi hizo hawa wote maceleb wa zamani.
alafu kuna demu mmoja alikufaga i think wa kujirusha or something a while back,ndiyo walikuwa wale madume jike wa mwanzoni kabisa nimesahau jina lake ila alikuwa mulato.
 
Masikini Abel SIWALE mungu amlaze mahali pema peponi bado kuna akina marehemu patranco,Hans yule alikuwa anachezea Pazi i think basletball enzi hizo hawa wote maceleb wa zamani.

...Marehemu Adam "Hunter", Raymond,...duh,...wametangulia wengi!
 
Caro anadunda na yuko bomba sana tu.Duka lake sasa ni Real Estate Agency nadhani ya akina Paul Rupia as you may know mdogo wa Caro is married into the Rupia family.

WOS,

Mdogo wake Carol, is that Ann, who went to IST Dar?
 
Kweli ujafa ujaumbika nakumbuka enzi zile ukienda kiwanja safu ya bad boyz Dj's Franco, Mao na marehemu Abeli Siwale.
Mwenyezi mungu amponye Franco

mao anakula book tumaini university dar
 
I thought yupo NY city...we unamuongelea mwingine sio Mao Lwangisa

Atakuwa anamuongelea Mao Wambura.I think Mao wambura ni mtu wa kwanza kufunguaga duka la nguo za wanaume pale karibu na kindoni makaburini enzi hizo za 90's.Alikuwa very expensive usikute alikuwa anachukua sagula pale NYC then akauja kulangua bongo ila that was a smart move.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom