Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 14,772
- 21,222
Tlaahtlaah, Lukas mwashambwa,Dr wa Manesi nk,Kumbuka anayekubalika na wanadamu Huwezi kumpaka kinyesi!Kazi mliyoifanya imefika mwisho!
Ndio maana nasisitiza sana,Mtu Mwenyewe ameondoa Familia yake Nchini halafu anataka achochee Machafuko ili Nchi ikiwaka Moto yeye apande ndege na kukimbilia Ulaya .
Inapaswa aendelee kukaa ndani tu
Hao Ndio wamekutengenezea simu,pasi,vipo, magari nk ndio upo hapa kubwabwaja,hata president kasema tufunge mikanda Maana mabwenyenye,wamebana Fedha zao!Yes,
Mabwenyenye wanamkubali sana kwasababu ni kibaraka wao 🐒
Hastahili kabisa kuchangamana na watanzania huku mitaani. Yeye si anajifanya nunda,acha akae ndani mpaka akili imkae sawaNdio maana nasisitiza sana,
huyo muungwana hastahili kua huru hata sekunde moja, na nina hakika itakua hivyo
Ili akachochee upya ghasia uharibifu na maafa tena? Mi nadhani anawajibika kwa 100% katika kupanga, kuratibu na kuchochea ghasia, uharibifu na maafa ya 2025, ambapo sote ni mashahidi na waathirika wa matukio yale ya kigaidi aliyoyatangaza hadharani kua atakinukisha.
Lakini pia hastahili kua nje ya jela hata kwa sekunde moja, licha ya mamluki na wafuasi wake kupotoshana na kudanganyana eti atakua huru hivi karibuni. Wamedanganyana kuhusu uchaguzi wa Zambia wakaumbuka, na sasa wanadanganyana kwenye hili.
Hata hivyo,
kwaajili ya usalama wake mwenyewe dhidi ya wananchi wenye hadira nae kwa kuwasababishia hasara, ulemavu na maafa kwenye familia zao, ni muhimu huyo kibaraka akaendelea kuwekwa kizuizini na kukabiliana na mashtaka mapya yenye ushahidi mpya.
Una maoni gani?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Mkurya naye kaamua asiwe nyuma katika kuwanyonya wana CHADEMA
Nani anayekubalika?Tlaahtlaah, Lukas mwashambwa,Dr wa Manesi nk,Kumbuka anayekubalika na wanadamu Huwezi kumpaka kinyesi!Kazi mliyoifanya imefika mwisho!
Hastahili kabisa kuchangamana na watanzania huku mitaani. Yeye si anajifanya nunda,acha akae ndani mpaka akili imkae salabd.labda Watanzania wa Mbozi!
Unajua unanifanya hujui TAL anakubalika dunia nzima!Nani anayekubalika?
huenda wengine watakua wamekuelewa vizuri zaidi gentleman 🐒Kuna mahali hauko sawa, TAL atatoka na Kwa ushahidi wa Shahidi wa serikali kasema alisema atakinukisha na kufanya uasi,alipoulizwa wapi!Akajibu Kwa serikali ya Nchi yake!Hivyo hata hiyo serikali unayoibwabwajia,unajua TAL ni Mtanzania na atabaki kuwa Mtanzania kama Wewe!
........bubujikws na machoziMtu Mwenyewe ameondoa Familia yake Nchini halafu anataka achochee Machafuko ili Nchi ikiwaka Moto yeye apande ndege na kukimbilia Ulaya .
Inapaswa aendelee kukaa ndani tu
Kaa vizuri zikuingie,mnachokoza mada mnabaki wanne Katika Watanzania mamilioni,very shame!nanii acha upotoshaji jukwaani plz na itapendeza zaidi 🐒