Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
45,278
Reaction score
37,073
Ili akachochee upya ghasia uharibifu na maafa tena? Mi nadhani anawajibika kwa 100% katika kupanga, kuratibu na kuchochea ghasia, uharibifu na maafa ya 2025, ambapo sote ni mashahidi na waathirika wa matukio yale ya kigaidi aliyoyatangaza hadharani kua atakinukisha.

Lakini pia hastahili kua nje ya jela hata kwa sekunde moja, licha ya mamluki na wafuasi wake kupotoshana na kudanganyana eti atakua huru hivi karibuni. Wamedanganyana kuhusu uchaguzi wa Zambia wakaumbuka, na sasa wanadanganyana kwenye hili.

Hata hivyo,
kwaajili ya usalama wake mwenyewe dhidi ya wananchi wenye hadira nae kwa kuwasababishia hasara, ulemavu na maafa kwenye familia zao, ni muhimu huyo kibaraka akaendelea kuwekwa kizuizini na kukabiliana na mashtaka mapya yenye ushahidi mpya.

Una maoni gani?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ili akachochee upya ghasia uharibifu na maafa tena? Mi nadhani anawajibika kwa 100% katika kupanga, kuratibu na kuchochea ghasia, uharibifu na maafa ya 2025, ambapo sote ni mashahidi na waathirika wa matukio yale ya kigaidi aliyoyatangaza hadharani kua atakinukisha.

Lakini pia hastahili kua nje ya jela hata kwa sekunde moja, licha ya mamluki na wafuasi wake kupotoshana na kudanganyana eti atakua huru hivi karibuni. Wamedanganyana kuhusu uchaguzi wa Zambia wakaumbuka, na sasa wanadanganyana kwenye hili.

Hata hivyo,
kwaajili ya usalama wake mwenyewe dhidi ya wananchi wenye hadira nae kwa kuwasababishia hasara, ulemavu na maafa kwenye familia zao, ni muhimu huyo kibaraka akaendelea kuwekwa kizuizini na kukabiliana na mashtaka mapya yenye ushahidi mpya.

Una maoni gani?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kuna mahali hauko sawa, TAL atatoka na Kwa ushahidi wa Shahidi wa serikali kasema alisema atakinukisha na kufanya uasi,alipoulizwa wapi!Akajibu Kwa serikali ya Nchi yake!Hivyo hata hiyo serikali unayoibwabwajia,unajua TAL ni Mtanzania na atabaki kuwa Mtanzania kama Wewe!
 
huo ni uamuzi wako gentleman,
but nchi hii mkiuka sheria anawajibishwa vizuri tu 🐒
Narudia Tena, usiyempenda anakujaa na Kila jicho litamuona uraiani na kwenye majukwaa,Kama Raisi mstaafu wa Malawi alienda kuonana nae we ni nani Hadi upinge?
 
Narudia Tena, usiyempenda anakujaa na Kila jicho litamuona uraiani na kwenye majukwaa,Kama Raisi mstaafu wa Malawi alienda kuonana nae we ni nani Hadi upinge?
hayo masuala ya mapenzi nadhani mngeyamaliza huko huko gentleman na sio kwenye kuchezea umoja,amani na usalama wa waTanzania wote 🐒
 
hayo masuala ya mapenzi nadhani mngeyamaliza huko huko gentleman na sio kwenye kuchezea umoja,amani na usalama wa waTanzania wote 🐒
Utakauka kama kunguru hata hanasi kwenye umeme, TAL anakubalika Kwa kweli hama pr anajua Hilo we nani upinge!
 
1785850860804.png
 
Back
Top Bottom