Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,943
- 6,863
Ni jukumu la madiwani na wabunge tutakaochagua kudhibiti hali hiyo. Wahusika wanapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu. Ni kazi ya serikali za mitaa.
Lini mtatangaza sera zenu kama kila siku ni kujibu hotuba za Lissu.
[/QUOT
Zona upotoshaji sana,
Narudia ilani yenu ni mawazo ya bavicha hap JF ndo mgombea wenu anatumia.
Siku moja atoke na hicho ki ilani akisome hadhalani kuhusu madini,?
Tunafahamu unajua ukweli wa mambo, lakini ushabiki wako wa CCM unakufanya uwe mpumbavu!Huyu mgombea kila kukicha anawapotosha wananchi kwa kuwaeleza mambo ambayo si sahihi. Anaongea mambo ambayo hayajui na hana utalaamu nayo. Hana wataalamu wa kumshauri ukweli wa kile anachokusudia kuwaeleza wananchi.
Moja ya upotoshaji anasema ni kuwa akichaguliwa atawaletea watanzania wote Universal health care. Ukimsikiliza utagundua kuwa kwake universal health care maana yake ni bima ya taifa ya afya kwa wote. Utagundua kuwa bima ya afya yataifa kwake ni NIHF tu. Hajui kuwa kuna bima zingine za afya za taifa kama CHF, TIKA, SHIB ya NSSF na kadhalika. Hajui kwamba kuna makampuni binafsi zaidi ya saba nchini yanayotoa bima ya afya. Hajui kwamba hadi sasa mzigo mkubwa wa gharama ya matibabu ya watanzania bado unabebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi kwa ujumla (government revenue)
Ukweli ni kwamba:
1. Universal health care a.k.a universal health coverage (UHC) is a health care system in which all residents of a particular country are assured access to health care. The World Health Organization describes it as a situation where all citizens of a particular country can access health services without incurring financial hardship.
Maana yake ni kwamba UHC ni mfumo wa serikali unaohakikisha raia wake wote wanapata huduma za afya. UHC ni sera ya nchi na mfumo wake unatekelezwa kwa kuundiwa sheria kanuni na taratibu za utekelezaji.
2. Tangia enzi za Mwalimu Nyerere raia wote wa Tanzania walikuwa wanapata huduma za afya bila kulipa chochote. Gharama zote zilibebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi (TRA) na yasiyokuwa ya kodi (government revenues). Sisi tuliyaita matibabu ya bure. Hivyo universal health care coverage ilikuwa 100% kwa gharama ya serikali ya 100% kupitia bajeti yake ya wizara ya afya.
3. Kufikia miaka ya 1990s, kutokana na ongezeko la watu (population) na ongezeko la gharama za tiba kufuatana na teknolojia za kisasa za tiba zenye gharama kubwa, serikali yetu (kama zingine duniani) ilielemewa na mzigo huu wa kutoa huduma bure kwa wote.
Hivyo kwa sababu hizo lakini bila kuathiri universal health care policy, serikali ilibadilisha kidogo mfumo huo kwa kuanzisha utaratibu wa health cost sharing kwa wale wenye kauwezo. Kwa utaratibu huu mgonjwa alitakiwa kuchangia asilimia kidogo ya gharama ya matibabu yake. Gharama kubwa ilibebwa na serikali.
Kwa wale ambao hawana uwezo kabisa wa kuchangia serikali iliweka utaratibu wa kuwasamehe. Makundi yafuatayo hayakusika na utaratibu huu wa cost sharing (hadi sasa): Watoto wote walio chini ya miaka mitano, mama wajawazito, wenye umri unaozidi miaka sitini, wenye magonjwa ya kansa, kifua kikuu, HIV na magonjwa mengine sugu. Hawa bado serikali inabeba gharama zao za matibabu kupitia bajeti yake ya walipa kodi wote nchini. Pia kwa magonjwa ya dharura mtoa huduma analazimishwa kutoa huduma kwanza, masuala ya kiasi gani mgonjwa achangie ataulizwa baada ya kupona na kama hatakuwa na uwezo huo utaratibu wasamaha utafuata baada ya kupona.
Hivyo hata baada ya kuanzisha cost sharing mfumo ulihakikisha universal health care kwa raia wote kwa serikali kubeba most of the cost. Ingawa kiwango cha hii cost sharing ya mgonjwa imekuwa ikiongezwa kidogo kidogo lakini hadi sasa burden kubwa bado inaendelea kubebwa na serikali. Kwa mfano gharama ya operesheni ya Caesarian Section huko Amerika ni USD 18,000 ambayo ni sawa na takribani Tsh 40 million lakini sisi hapa cost anayopaswa kuchangia mgonjwa haizidi Tshs 150,000/ na kama ni ya uzazi ni bure na kama hana uwezo anasamehewa au analipa kidogo ya hiyo. Inayobaki serikali inabeba kuhakikisha hakuna raia wake atakayekufa kwa kukosa uwezo wa kulipia gharama hizo. Hence 100% universal health coverage.
Dhana na chimbuko la bima za afya (Evolution of other health care financing in Tanzania):
Ili kurahisisha na kupunguza buguza/ changamoto ulipwaji wa hizo cost sharing kwa upande wa mgonjwa serikali iliunda bima za afya za taifa (public owned health insurance schemes:
1. The National Insuranse Health Fund (NIHF) ilianzishwa mwaka 1999 (Act of Parliament No. 8 of 199 -CAP 395 RE 2002) kwa ajili kwa waajiriwa wa serikali - government workers. Kila mwajirwa wa serikali alilazimika kukatwa 3% ya mshahara wake kila mwezi na serikali kutoa kiasi hicho hicho kutoka vyanzo vyake vingine vya mapato hivyo kupata 6% ya mshahara na kuuweka kwenye huo mfuko wa bima wa taifa. Mchango huo unamuwezesha mtumishi huyo pamoja na mwenza wake, watoto wao wasiozidi 4 wenye umri usiozidi miaka 18 na wazazi wake wawili - jumla watu sita kupata matibabu kwa gharama ya mfuko huo wa NIHF.
NB: - Waajiri na waajiriwa binafsi hawalazimiki kisheria kwa sasa kujiunga na mfuko huu. Ni wa hiari kwao.
- hulipa Shs 50,000 tu kwa mwaka kuwa wanachama wa mfuko huu.
2. Community Health Fund (CHF): Walengwa hasa wa mfuko huu ni wakazi wa vijijini. Ni mfuko wa hiari. Kila kaya hulipa Sh 10,000 tu kwa mwaka ambayo huwezesha mkuu wa kaya pamoja na watoto wao wote wenye umri chini ya miaka 18 kupata matinabu kwenye ngazi ya zahanati, kituo cha afya hadi hospitali ya wilaya bila mchango mwingine.
3. TIKA (Tiba kwa Kadi): Huu unafanana na ule wa CHF, tofauti hapa ni kaya zilizo mjini.
4. SHIB - ni Social health insurance benefit ulio chini ya National Social Scurity Fund (NSSF).
Ukiacha hizo mifuko aina 4 za bima za afya za kitaifa pia yapo makampuni zaidi ya saba yanayoendesha private health insuranses eg AAR, Strategy etc. Pia bima za maisha zinazotolewa na bima za kawaida huwa zina health insurance.
Mgombea huyo anapaswa kujua basics hizi badala ya kujifanya much know na kuanza kupotosha wananchi kwamba wataletewa UHC kutoka ubelgiji. Hiyo Obamacare haifiki ya kwetu kwa ubora na kwa coverage. UHC coverage ya kwetu bado ni 100%. Hakuna anayekosa matibabu au kufa kwa sababu hana pesa. Nchi zingine haziko hivyo.
Ni sehemu ya serikali tutakayoichagua hapo 28 Oktober ie mafiga matatu. Haya mafiga matatu hao jamaa hawatapata hivyo chungu hakiweza kutengwa. Watarudi kwa akina Adam Robertson waliowatuma kwenda kurejesha imprest.Na serikali za mitaa sio sehemu ya Serikali?
Amandla...
Ni sehemu ya serikali tutakayoichagua hapo 28 Oktober ie mafiga matatu. Haya mafiga matatu hao jamaa hawatapata hivyo chungu hakiweza kutengwa. Watarudi kwa akina Adam Robertson waliowatuma kwenda kurejesha imprest.
Kwahiyo mtu anaweza enda kufanya check up bure kabisa akitoka anasema mimi maskini?? Basi ndio inakua bima imefanya kazi hapo??Mbona wewe mgumu kuelewa? Nimekuambia wale wasiyo na uwezo (masikini) wanapewa msamaha wa kutolipa cho chote. Maana yake ni kuwa wanalipiwa na serikali 100%. Au wewe tu unataka neno bima lionekane ndiyo uelewe kuwa umelipiwa hayo matibabu?
Mh unasema anapotosha halafu unajijibu mwenyewe kwenye aya ya kwanza tu.Huyu mgombea kila kukicha anawapotosha wananchi kwa kuwaeleza mambo ambayo si sahihi. Anaongea mambo ambayo hayajui na hana utalaamu nayo. Hana wataalamu wa kumshauri ukweli wa kile anachokusudia kuwaeleza wananchi.
Moja ya upotoshaji anasema ni kuwa akichaguliwa atawaletea watanzania wote Universal health care. Ukimsikiliza utagundua kuwa kwake universal health care maana yake ni bima ya taifa ya afya kwa wote. Utagundua kuwa bima ya afya yataifa kwake ni NIHF tu. Hajui kuwa kuna bima zingine za afya za taifa kama CHF, TIKA, SHIB ya NSSF na kadhalika. Hajui kwamba kuna makampuni binafsi zaidi ya saba nchini yanayotoa bima ya afya. Hajui kwamba hadi sasa mzigo mkubwa wa gharama ya matibabu ya watanzania bado unabebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi kwa ujumla (government revenue)
Ukweli ni kwamba:
1. Universal health care a.k.a universal health coverage (UHC) is a health care system in which all residents of a particular country are assured access to health care. The World Health Organization describes it as a situation where all citizens of a particular country can access health services without incurring financial hardship.
Maana yake ni kwamba UHC ni mfumo wa serikali unaohakikisha raia wake wote wanapata huduma za afya. UHC ni sera ya nchi na mfumo wake unatekelezwa kwa kuundiwa sheria kanuni na taratibu za utekelezaji.
2. Tangia enzi za Mwalimu Nyerere raia wote wa Tanzania walikuwa wanapata huduma za afya bila kulipa chochote. Gharama zote zilibebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi (TRA) na yasiyokuwa ya kodi (government revenues). Sisi tuliyaita matibabu ya bure. Hivyo universal health care coverage ilikuwa 100% kwa gharama ya serikali ya 100% kupitia bajeti yake ya wizara ya afya.
3. Kufikia miaka ya 1990s, kutokana na ongezeko la watu (population) na ongezeko la gharama za tiba kufuatana na teknolojia za kisasa za tiba zenye gharama kubwa, serikali yetu (kama zingine duniani) ilielemewa na mzigo huu wa kutoa huduma bure kwa wote.
Hivyo kwa sababu hizo lakini bila kuathiri universal health care policy, serikali ilibadilisha kidogo mfumo huo kwa kuanzisha utaratibu wa health cost sharing kwa wale wenye kauwezo. Kwa utaratibu huu mgonjwa alitakiwa kuchangia asilimia kidogo ya gharama ya matibabu yake. Gharama kubwa ilibebwa na serikali.
Kwa wale ambao hawana uwezo kabisa wa kuchangia serikali iliweka utaratibu wa kuwasamehe. Makundi yafuatayo hayakusika na utaratibu huu wa cost sharing (hadi sasa): Watoto wote walio chini ya miaka mitano, mama wajawazito, wenye umri unaozidi miaka sitini, wenye magonjwa ya kansa, kifua kikuu, HIV na magonjwa mengine sugu. Hawa bado serikali inabeba gharama zao za matibabu kupitia bajeti yake ya walipa kodi wote nchini. Pia kwa magonjwa ya dharura mtoa huduma analazimishwa kutoa huduma kwanza, masuala ya kiasi gani mgonjwa achangie ataulizwa baada ya kupona na kama hatakuwa na uwezo huo utaratibu wasamaha utafuata baada ya kupona.
Hivyo hata baada ya kuanzisha cost sharing mfumo ulihakikisha universal health care kwa raia wote kwa serikali kubeba most of the cost. Ingawa kiwango cha hii cost sharing ya mgonjwa imekuwa ikiongezwa kidogo kidogo lakini hadi sasa burden kubwa bado inaendelea kubebwa na serikali. Kwa mfano gharama ya operesheni ya Caesarian Section huko Amerika ni USD 18,000 ambayo ni sawa na takribani Tsh 40 million lakini sisi hapa cost anayopaswa kuchangia mgonjwa haizidi Tshs 150,000/ na kama ni ya uzazi ni bure na kama hana uwezo anasamehewa au analipa kidogo ya hiyo. Inayobaki serikali inabeba kuhakikisha hakuna raia wake atakayekufa kwa kukosa uwezo wa kulipia gharama hizo. Hence 100% universal health coverage.
Dhana na chimbuko la bima za afya (Evolution of other health care financing in Tanzania):
Ili kurahisisha na kupunguza buguza/ changamoto ulipwaji wa hizo cost sharing kwa upande wa mgonjwa serikali iliunda bima za afya za taifa (public owned health insurance schemes:
1. The National Insuranse Health Fund (NIHF) ilianzishwa mwaka 1999 (Act of Parliament No. 8 of 199 -CAP 395 RE 2002) kwa ajili kwa waajiriwa wa serikali - government workers. Kila mwajirwa wa serikali alilazimika kukatwa 3% ya mshahara wake kila mwezi na serikali kutoa kiasi hicho hicho kutoka vyanzo vyake vingine vya mapato hivyo kupata 6% ya mshahara na kuuweka kwenye huo mfuko wa bima wa taifa. Mchango huo unamuwezesha mtumishi huyo pamoja na mwenza wake, watoto wao wasiozidi 4 wenye umri usiozidi miaka 18 na wazazi wake wawili - jumla watu sita kupata matibabu kwa gharama ya mfuko huo wa NIHF.
NB: - Waajiri na waajiriwa binafsi hawalazimiki kisheria kwa sasa kujiunga na mfuko huu. Ni wa hiari kwao.
- hulipa Shs 50,000 tu kwa mwaka kuwa wanachama wa mfuko huu.
2. Community Health Fund (CHF): Walengwa hasa wa mfuko huu ni wakazi wa vijijini. Ni mfuko wa hiari. Kila kaya hulipa Sh 10,000 tu kwa mwaka ambayo huwezesha mkuu wa kaya pamoja na watoto wao wote wenye umri chini ya miaka 18 kupata matinabu kwenye ngazi ya zahanati, kituo cha afya hadi hospitali ya wilaya bila mchango mwingine.
3. TIKA (Tiba kwa Kadi): Huu unafanana na ule wa CHF, tofauti hapa ni kaya zilizo mjini.
4. SHIB - ni Social health insurance benefit ulio chini ya National Social Scurity Fund (NSSF).
Ukiacha hizo mifuko aina 4 za bima za afya za kitaifa pia yapo makampuni zaidi ya saba yanayoendesha private health insuranses eg AAR, Strategy etc. Pia bima za maisha zinazotolewa na bima za kawaida huwa zina health insurance.
Mgombea huyo anapaswa kujua basics hizi badala ya kujifanya much know na kuanza kupotosha wananchi kwamba wataletewa UHC kutoka ubelgiji. Hiyo Obamacare haifiki ya kwetu kwa ubora na kwa coverage. UHC coverage ya kwetu bado ni 100%. Hakuna anayekosa matibabu au kufa kwa sababu hana pesa. Nchi zingine haziko hivyo.
Narudia tena Modal ya Rwanda na Tanzania ni tofauti kuanzia regulation,funding mpaka practice. Hivi sisi tuna uchangiaji wa ''ujirani mwema" kwa ajili ya bima?. Hata hilo kajifunzeni mkuu muache ubishi kuwa haiwezekani.Rwanda yenyewe imekopi kwetu. Sisi tuliunda mfumo huu miaka ya 1991 wakati huo wanyarwanda wakiwa buisy wakitwangana wenyewe kwa wenye na sisi tukiwa wasuluhishi wao.
Rwanda yenyewe imekopi kwetu. Sisi tuliunda mfumo huu miaka ya 1991 wakati huo wanyarwanda wakiwa buisy wakitwangana wenyewe kwa wenye na sisi tukiwa wasuluhishi wao.
Unafikiri udokta wangu ni wa kuokota majalalani? Kuwa na imani na hiki ninachokuambia mtoto wangu. Hunijui na mimi sikujui. Trust me.Tatizo unaongea vitu hujui.. jifunze kusoma kwa makini.. kuna watu humu wazoefu kuliko wewe. Unacho elezea hukijui..
..kama RWANDA wanaweza kwanini sisi tushindwe?
Rwanda: the beacon of Universal Health Coverage in Africa
Rwanda: the beacon of Universal Health Coverage in Africa
Punguza ujuaji na kizunguuu chako kireeeefu
Tunaijua Obamacare na mengineyo jaribu kujifunza Health Care ya Sweden Canada etc utakuja kufuta upupu wako.
Live Long Lissu
Atawayambisha mpaka mjibebee
Unafikiri udokta wangu ni wa kuokota majalalani? Kuwa na imani na hiki ninachokuambia mtoto wangu. Hunijui na mimi sikujui. Trust me.
Chadema na Lisu wenu Hata kama mwasema SERA YA. BIMA ya Afya ni yenu ni Sawa!! Lakini utawaletea vipi BIMA ya Afya bila kuboresha miundombinu Ya Afya
Ikiwemo kuwa na vituo vya Afya, (Majengo,Dawa, wahudumu)
Mnaiongelea Rwanda kuwa mbona imewezekana Kwa Raia wake kuwa na BIMA
Miaka 3 iliyopita nimeishi Rwanda sio mjin Tu( kigari) Hadi vijijini nimezurula saana
Kagame na serikali yake walianza Kwa kuboresha vituo vyote vya Afya Kama alivyofanya JPM
Baada ya hapo nafasi za KAZI Kwa wataalamu WA Afya zikatangazwa na kuajiriwa Kwa Wingi
Alafu BIMA ya Afya ndo ikatakelezwa
Na Wamefanikiwa
JPM 5 tena
watu milioni 50 mnatibiwa bure?
Ujima.com
Viva Magu
Heil JPM