A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Prisha am already here. Meeting all your criteria. Karibu Prisha. Wajuba msione wivu nikimpata mtoto.
😎
 
  • Hii comment imenifanya niumie.
  • Hapana usijifikirie hivyo, kuwa Positive, Mungu akutie Nguvu.
Nimesoma upya na imeniuma pia, ila kuna baadhi ya comments zinaumiza ,ila basi tu unaamua kureply kulingana na anavyotaka huyo aliyetoa comment. Jukwaa la love connect liliwekwa kwa nia njema tu, ila ukileta thread unasakamwa na kudhihakiwa kama kuna kitu umekosea .
nawashukuru wote waliocomment positive, hata negative comments pia nimezipokea👏
 
huyu mwanaume unayemsemea hapo ni mimi kabisa, ila shida ni kwamba kipato changu kidogo kwa sasa, 2.8M/= per month haiwezi kututosha mimi na wewe, au utanivumilia hivyo hivyo na hali yangu duni
 
Mama hapo kwenye singali mmh labda tukudanganye, ninachokumbuka kwa Mke wangu alimnyang’anya mie mwanamke
mwenzie with serious. Japokuwa alikula matusi ya kutosha toka upande wa pili.
Well unamaanisha hamna mwanaume aliye single ,Wote wako na watu wao? inaweza kuwa kweli, ila kama bado hajaoa na hayupo kwenye serious relationship huyo namhesabia kama yupo single bado.
 
Ina wezekana ndio, ina wezekana siyo.
Ila vurugu na ucheshi ndio asili yangu, 😂😂.

but one thing to note nime anza hustle kabla ya kuwa na miaka 18, maturity yangu ime anza kitambo.
Wala usijitetee hatuangalii machuriti, hapa ni namba tu.
Nina 37 na nipo kwa mjomba wala siwazi kuondoka, kwa vigezo vya mleta uzi nimeshakidhi, ila wewe na machuriti yako unakosa dodo.
 
Wala usijitetee hatuangalii machuriti, hapa ni namba tu.
Nina 37 na nipo kwa mjomba wala siwazi kuondoka, kwa vigezo vya mleta uzi nimeshakidhi, ila wewe na machuriti yako unakosa dodo.
Dah 37 ume niacha kama,😂😂.

halafu watoto wa mjomba si wata anza kuhisi una taka kuwa dhurumu urithi wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom