Transisco06
JF-Expert Member
- Feb 23, 2025
- 1,033
- 1,010
Tapeli hilo Nigerian scammer anatest mitambo hapoNgoja nijaribu bahati yangu.
Naweza kuwa na fainali nzuri kama SIMBA SC.
Tapeli hilo Nigerian scammer anatest mitambo hapoNgoja nijaribu bahati yangu.
Naweza kuwa na fainali nzuri kama SIMBA SC.
Halafu dili ziki toka bandarini una piga kimya, kudadadeki.Safi aisee nipigie mapande mdogo angu.
Napenda namna ulivyo na utulivu, ujobless kweli ni suala la muda ila waliowengi wamefanywa kuwa watumwa.ni kweli nna uhitaji, kama kuna kigezo kimepungua still tunaweza kuzungumza, naamini kama ni ujobless ni suala la muda tu siku mambo yatakua sawa ,muhimu ni kuwa na mipango thabiti
Mie acha niendelee kumuombea tu yuko vizuri sana kwenye maandishi yake, natumai na kwenye uhalisia atakuwa hivyo pia.Stay blessed lady, isiwe katika maandishi na uhalisia iwe hivyo.
Ma jobless pro max mme kumbukwa Razorblade, @Selikavu,dosho12, Edo kissy.
Wakubali wote ila sio hii pimbi Kijana Masikini au Half american panya wabaka wakubwa
Sawa siyo kweli lakini wengi wao huhitaji kujua taarifa za watu kwa kutumia njia hizi hizi.Siyo kweli
Pole mkuuStay blessed lady, isiwe katika maandishi na uhalisia iwe hivyo.
Ma jobless pro max mme kumbukwa Razorblade, @Selikavu,dosho12, Edo kissy.
Wakubali wote ila sio hii pimbi Kijana Masikini au Half american panya wabaka wakubwa
😂😂😂😂Hi Brother Short.😃 Usijali hizo Condition zake, Nenda Jaribu Bahati yako . Hawezi pata mtu wa age hiyo awe Employed au Business nini sijui , Na visifa zingine nyingi nyingi . halafu bado awe Single Hayupo🤣🤣
SawaBaadhi ya sifa ninazo, ila I'd mpya?, hapana Asante.
Kuku wa maziwa wewePole mkuu
Yap 33 bado, nime wahi kuona mabinti kadhaa una ambiwa miaka una baki kusema uongo😂🦅Mi sikufichi ndugu yangu tafuta walio na umri chini ya hapo utanishukuru
Walio katika 20s ambao wana maisha ya kawaida ila wanatafuta kuna wanaume huwaga hawana hulka ya umalaya. Jiweke tu vizuri vizuri punguza vitenge miaka 33 bado sana ...
Nmekushauri hivyo kwakua nmejaribu kuchunguza mwanaume mwenye 20s Gubu lake halijakomaa bado anajifunza mambo mengi!
Hio miaka unayoitaja kuna ma single father halafu sasa wana Gubu na ni much know hasa ukute wajafanya kazi yenye kamshahara kazuri
Mamdogoo utanikumbuka 😃
Nafwaa🦅, Selikavu, dosho12, Edo kissy dogo kamuacha kikongwe 🤣 😂Napenda namna ulivyo na utulivu, ujobless kweli ni suala la muda ila waliowengi wamefanywa kuwa watumwa.
Binafsi hii fursa inanipita kwasababu kujiimarisha kiuchumi ndiyo kipaumbele changu kwa sasa.
Sizingatii umri wako kwasababu najiamini na naamini ningeweza kukumudu kiakili na kimwili pia.
Acha niwe mpenzi muombaji, nakuombea upate hitaji la moyo wako.
Mkuu soma tena vizuri, mbona haihitaji hata D2 kuelewa 😂
Anapata woga tuYap 33 bado, nime wahi kuona mabinti kadhaa una ambiwa miaka una baki kusema uongo😂🦅
Nimeipenda alivomjibu kwa utulivu😂🙌 Razorblade
Aishi sana huyu bidada🫰, atampate aliye sahihi awe na subira.Stay blessed lady, isiwe katika maandishi na uhalisia iwe hivyo.
Ma jobless pro max mme kumbukwa Razorblade, @Selikavu,dosho12, Edo kissy.
Wakubali wote ila sio hii pimbi Kijana Masikini au Half american panya wabaka wakubwa
Pole sana kakaKuku wa maziwa wewe
Nmepitia thread nzima ndomana nmekuja na suggestion iyo nimeona mambo mengi tofauti tofautiUmecomment hata hujapitia thread😔, umeona wapi nimeandika "singo maza" upweke ni kwa kila mtu siyo singo maza tu
Ahsante kwa ushauriHiyo "he should be Tall" fanya ufute tu maana utaambulia vituko tu at your age huna sababu za kutafuta urefu ambao hautakusaidia lolote huko mbeleni.
Hao tall ungewatafuta ukiwa na miaka 16 hadi24 huko ila kwasasa fanya kama unapambana na hali yako unachukua standard men in the market.