A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
Kila lililo la kheri liwe na wewe
 
huyu mwanaume unayemsemea hapo ni mimi kabisa, ila shida ni kwamba kipato changu kidogo kwa sasa, 2.8M/= per month haiwezi kututosha mimi na wewe, au utanivumilia hivyo hivyo na hali yangu duni
Hiki ni kipato kikubwa kabisa na kitatosha, pia palipo na ndoa na maelewano Mungu anaongeza riziki, atatujaalia zaidi kadri ya bidii zetu, if you're serious karibu
 
33 bila mtoto! Umechomoa mimba kibao unataka uanze kumsumbua mtu atumie pesa zake kukutembeza kila Kona ya dunia kupata mtoto! Mkuu malizia tu safari yako mbona life lenyewe fupi
🤣🤣🤣🤣
 
Mbona hujasema Kama wewe unazo biashara ama uko employed , pia wewe una miaka michache Ila unataka mwenye umri mkubwa unataka utembelee uzoefu wa Maisha kwa mwenzako..pia bikra hujasema Kama unayo Mana thamani ya mwanamke ni bikra ukiwa hunayo ina Mana ni used materials. Your value at relationship as a woman is just your body. Someone can take from your family without nothing except your body and that body must be pure from creation.
That's the pride and power of man that is having real virgin wife. The way you feel once you meet a man who can take care everything for you the same way man feels once finds your body touched by any man.
Hapo Sasa hata ukitaka ulipwe mahari yoyote unalipwa.
Refer to southern sudanese hata from biblical or scripture even hata moslems or Quran and Arabs are always seeking Virginity that proves you're faithful and you kept your body thus you'll keep and care somethings.
Najua watakuja kutukana na ku reason kuwa bikra is nothing,okay sijakataa bikra is nothing but tuwakute na bikra zetu jamani hizo ndizo ufahari kwetu kwa wanaume.
Miaka 33 with bikira !? Acha basiiii 🤣😁🙌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom