A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Mtoa mada yuko very positive na amejitahidi kua mtulivu pamoja na kejeli za hapa na pale hii inaashiria maturity

Kama maisha yako ya kila siku uko hivi naamini ungeshapata mtu na kama hujapata bado basi very soon utapata

Changamoto Kubwa ya umri watu wanahofia kwamba huenda kipindi uko kwenye prime yako ulikua picky sana au ulipata watu seriously lakini ulikua na mambo mengi lakini pia usikate tamaa 33 bado sana kuanza kusema tuzeeke pamoja jiamini jiweke vizuri basi

Nakuombea mkuu
Ahsante sana🙏
 
Kama tokea mwez wa 4 mpk leo upo unatafuta tuu. Bas kuna tatizo mahali
Labda upo selective sanaa au kuna namna unajiweka mtu mwenye nia anakata tamaa
 
Kama ajafika 33 ila Yuko serious
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
 
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
TANGAZO NDO NAONA

Have you already found the single man.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom