A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

A night in Tunduma, Pombe wanawake na ukimwi

Min_me hukataza kuchati uku unapata kinywaji changamshi ๐Ÿ˜
Kabisa mimi nilishatoa cv zangu humu kipumbavu sna kisa ulevi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ sema now nakunywa hapa kistaarabu naonaa siku nzima hii nitakunywa tu๐Ÿ˜†
 
Labda utengenezaji wake, kule kwetu utadhani uji wa ulezi, sijawahi ipenda mbege mie.
Mbege ni pombe ya kienyeji nzuri dunia yote ,kwa Tanzania ni pombe ya kienyeji pekee iliyopanda ndege kwenda kujithibitisha kwenye viwango vya kidunia.
 
Coca upo strong ๐Ÿ’ช eee mpaka unaweza kunywa MDINDIFU ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Yaan upate ule mkangafuu wenyewe, bas nikilewa naanza kufoka foka, utasema vya maana.

Kuna siku nililewa nikaanza shuka desa za Projectile motion, watu wanacheka hatarii, najiona lecturer kabisa. Nisiropoke ningekua mwalimu sifundishi na kitabu,

Kumbe mama yuko ananitazama tyuu, zilipoisha nguvu za ulanzi, anasema usirudie kulewa tena. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Yaan upate ule mkangafuu wenyewe, bas nikilewa naanza kufoka foka, utasema vya maana.

Kuna siku nililewa nikaanza shuka desa za Projectile motion, watu wanacheka hatarii, najiona lecturer kabisa. Nisiropoke ningekua mwalimu sifundishi na kitabu,

Kumbe mama yuko ananitazama tyuu, zilipoisha nguvu za ulanzi, anasema usirudie kulewa tena. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Umekumbusha projection motion , unaonekana ulikua mkali wa hizi kazi sana ๐Ÿค”
 
Yaan upate ule mkangafuu wenyewe, bas nikilewa naanza kufoka foka, utasema vya maana.

Kuna siku nililewa nikaanza shuka desa za Projectile motion, watu wanacheka hatarii, najiona lecturer kabisa. Nisiropoke ningekua mwalimu sifundishi na kitabu,

Kumbe mama yuko ananitazama tyuu, zilipoisha nguvu za ulanzi, anasema usirudie kulewa tena. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mimi nausikiaga TU mdindifu kumbe una alcohol nyingi eeee ๐Ÿค 

Mama aliweka a remarkable comment USIRUDIE KULEWA TENA๐Ÿ˜
 
Wapi huko? Ila kina Meku kwa kujipaisha hamjambo, Lol
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sio kujipaisha , unajua kina meku tukiongelea uhalisia wetu huwa tunaonekana hivyo , ndio maana mda mwingine tunajifanya matahira tu maisha yaende.
 
Back
Top Bottom