cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,002
- 189,748
Sio kivilee, ila nilipambana nazo hivyo hivyo.Umekumbusha projection motion , unaonekana ulikua mkali wa hizi kazi sana 🤔
Sio kivilee, ila nilipambana nazo hivyo hivyo.Umekumbusha projection motion , unaonekana ulikua mkali wa hizi kazi sana 🤔
😂😂😂😂Wahaya ndio babalao
Aaah wapiii!! 😂😂😂😂Sio kujipaisha , unajua kina meku tukiongelea uhalisia wetu huwa tunaonekana hivyo , ndio maana mda mwingine tunajifanya matahira tu maisha yaende.
Wee ulanzi ule mkangafuu ni nomaa, sasa alikujaga mdogo wa shem kwetu, ile kuonja unanoga sukari, anasema sio pombe hii ni chai.Mimi nausikiaga TU mdindifu kumbe una alcohol nyingi eeee 🤠
Mama aliweka a remarkable comment USIRUDIE KULEWA TENA😁
Shauri yako utaachwa kwenye mataa , 46% ya mamangi hawajaanza kula pesa zao wala za baba zao wanakula pesa zaa babu zao😁Aaah wapiii!! 😂😂😂😂
Sio mtogwaWee ulanzi ule mkangafuu ni nomaa, sasa alikujaga mdogo wa shem kwetu, ile kuonja unanoga sukari, anasema sio pombe hii ni chai.
Kilichomkuta alienda kusimulia kwao, 😂😂😂😂😂
Kila nikikumbukaa nachekaa had bas
M au b?Sio kivilee, ila nilipambana nazo hivyo hivyo.
Au upate komoniSiipendi km nn, naona km uji wq ulezi vile.
😂😂😂😂😂
Hatareee sanaaWee ulanzi ule mkangafuu ni nomaa, sasa alikujaga mdogo wa shem kwetu, ile kuonja unanoga sukari, anasema sio pombe hii ni chai.
Kilichomkuta alienda kusimulia kwao, 😂😂😂😂😂
Kila nikikumbukaa nachekaa had bas
Lakini mi nilidhani kwakuwa kala kikavu na binti anatumia dawa ndio vizuri?Wapi wewe, ungekuwa umekula kitumbua kikavu bila chai usingehadithia hadithi hapa....
😂😂😂😂Hatareee sanaa
Na myakayaa 😂😂😂Au upate komoni
MM au b?
Nakubaliiii 😂😂😂😂Shauri yako utaachwa kwenye mataa , 46% ya mamangi hawajaanza kula pesa zao wala za baba zao wanakula pesa zaa babu zao😁
Togwa haileweshi, si km ubaga tyuuhSio mtogwa
Dah mimi nilichaguliwa m ila nikaforce b 2005 hiyo , niligundua b ni ya kikatili zaidi ya A japo chini zote nilitia banda
Yes, uwezekano bado upo japo mtu anaetumia dawa to an extent of undetectable viral load ana risk ndogo ya kuambukizaNaomba kuuliza kwani mtu akitumia dawa Kuna uwezekano wa kupata maambukizi ? Wenye elimu Dr am 4 real PhD
Iyo Ngoma inachemkia tumboni alooooo😂😂😂Na myakayaa 😂😂😂