A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Jamani mwanabodi mmjoa atueleze kwa undani halai ya ndugu yetu kwa undani na namana ya kusidia pale itakapolazimu kama ilivyopendekezwa. Nawakilisha
 
Kwanini ulisomea udaktari? ungesomea usecretary ili uendelee kuwa smart na kazi isiyo na hatari,hivi watumishi wengine wa serikali wakigoma kama madaktari nchi itatawalika?,kwa yaliyotokea hilo ni onyo na somo kwa madaktari ili mthamini na utu wa wengine eti kalete gloves! kwani huduma ni za bure! si analipa mgonjwa kwanza siyo mgonjwa anayenunua walio karibu yake au manesi wanafanya kazi hiyo na siyo daktari,eti kazi ya muhimu sana hivi mnajua kazi za muhimu nyie?.hivi kuna madaktari wangapi huko vijijini? ni sawa na hakuna wote wapo mijini wananchi wanakufa kama kuku huko vijijini hamuwatembelei na hata akifurukuta kuja mjini nako Israeli anamfuta kisa mgomo!mnakula nchi tu mijini,iko siku mkihamishiwa vijijini mnagoma na kuishinikiza serikali eheee hivi nchi hii yakwenu peke yenu,natak kulia R.I.P Dr. Ulimboka kama wale ndugu zetu wanavyokufa kule vijijini kama kuku mwenye mdondo.

Ungepata kuona hata kwa dakika kumi mazingira ya kazi ya madaktari ungewaonea huruma sana... Unabwabwaja yote haya kwa sababu hakuna kitu unachokielewa... Ni afadhali ukae kimya kuliko kuropoka.... SHUT UP.!!!
 
am listening to Aretha Franklin's Let it be.........right now.
You have played your part Dr.Ulimboka, historia itakukumbuka daima. Wewe ndio umekua/utakuwa symbol ya struggle ya mgogoro huu na wapenda mabadiliko wote, get well soon.


When I find myself in times of trouble
Mother Mary comes to me
Speaking words of wisdom, let it be.
And in my hour of darkness
She is standing right in front of me
Speaking words of wisdom, let it be.
Let it be, let it be.
Whisper words of wisdom, let it be.

And when the broken hearted people
Living in the world agree,
There will be an answer, let it be.
For though they may be parted there is
Still a chance that they will see
There will be an answer, let it be.
Let it be, let it be. Yeah
There will be an answer, let it be.

And when the night is cloudy,
There is still a light that shines on me,
Shine on until tomorrow, let it be.
I wake up to the sound of music
Mother Mary comes to me
Speaking words of wisdom, let it be.
Let it be, let it be.
There will be an answer, let it be.
Let it be, let it be,
Whisper words of wisdom, let it be
 
Nimesikitika sana, nimepata taarifa kua wamemkata na sehemu za siri.. Dah pole sana jemedari ulimboka..
 
Hivi Hellen Kijosimba na hicho Kitengo chake ndio wapewe Taarifa ya kupote/kutekwa Mtu kabla ya Jeshi la Polisi ? Inakubalika kweli?. Hellen afike eneo la Tukio ndio waende Polisi!! Mbona Madaktari wantuletea Hadithi za kusadikika? Eti wasomi hao..........!!
Wewe wapi kisukali/kisukari? sasa mtu amechukuliwa na polisi halafu unataka taarifa apelekewe polisi? alitafutwa mtu wa msaada wa kisheria na Dr.Helen Kijo Bisimba ndiyo alikuwa mtu sahihi na ndiyo maana yeye alianza kwa kutoa taarifa vituo vyote ili polisi waseme wamempeleka wapi. Duuh kweli wewe KISUKALI
 
Last edited by a moderator:
Huu ni ujumbe tosha kabisa kwa serikali ya Magamba, Sasa bila shaka baada ya hapa watarudi kwa wanasiasa wanaotetea wanyonge na kuwauwa. Ili wasemaji wasiwepo kabisa na kisha 2015 wabaki Magamba waendelee kutekeleza ahadi kwa wananchi wao kwa kuwaletea umaskini zaidi. Sasa Bila kuleta mgomo wananchi wakateseka 2015 hawataona umuhimu wa kuwaacha Magamba. Hili nifundisho kwa wananchi kuwa walichokichagua 2010 kilikiwa sio sahihi. Wacha tuumie tu. Na huyo akifa mimi pia nitajitokeza kuungana na madaktari walio baki. Kikwete pia hatakiwi kwenda kuona majeruhi atapata kichapo kama alichopata kibaraka wake toka kwa Madaktari wengine.

Naomba Kuwasilisha.
 
Serikali ya Tanzania [CCM] tukubali kwamba hatuna Viongozi makini kabisa, Viongozi wamejaa blablaa tu na wizi . Badala ya kutatua matatizo wanachochea Pinda na JK wake wanapaswa kuachia ngazi
 
Eeheee!kila chenye mwanzo kina mwisho!serikali sasa maji shingoni. hata yule mjinga kabisaa anajua kuwa walitaka kuua.
Aiibu tupu kwa serikali
 
Utasikia kujikosha anajidai serikali itagharamia matibabu yake apelekwe India..... hiyo ni baada ya kuona huyo bwana hakufa..... Madaktari kataeni asimwone... kwanza kwa hali yake hatakiwi kuonana na watu...wanaweza kumsababishia ugonjwa zaidi.

Umenikumbusha enzi za Kubenea!

Dah kumbe rais hayuko buzy kivile? Angetembelea na wagonjwa waliokosa huduma basi.
 
we should try to be analytical bhana, sio ku-connect dots zisizoleta image yoyote, after all taarifa zote hazina reliable sources.at this point we have more that 3 different conclusions mara oh polisi TISS bla bla . Serikali ndio inacheza fouls nyingi za aina hii ILA sio kwa staili hii bhana, ule ni mpango wa kipuuzi hata serikali ya kata flani huko namanyere haiwezi panga hivo.You guys wait you will get to learn about the whole things shotly

wewe usalama wewe?
 
Naunga mkno hoja! Bila kusahau nanukuu kauli ya aliyekua katibu mkuu mstaafu wa CCM bwana Makamba alishawahi kusema kua Watanzania ni watu wakusahau sana!
 
Wakati wananchi walikuwa wanasema CCM na serikali yake ni serial killer wananchi wengi hawakuamini,tuna madikteta wanaolinda utajiri wao na wana wao na wenzi wao kwa gharama ya damu za watu Mungu amewaaumbua Dr Ulimboka yuko hai na damu yake itakuwa tone la ukombozi ,Usalama wa Taifa waende wakatibu wananchi sasa

Nimependa maneno hayo kwenye red!!!
 
Ni kweli itabaki siri kama ilivyokuwa kifo cha Mwalimu Nyerere labda tusubiri mtoto wake Vicent Nyerere Ahaaa!!!!! nimekosea Vicent Ulimboka atuambie kwenye kampeni
 
Back
Top Bottom