mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
mi binafsi nawapongeza madaktar kwa mgomo wao, ila wanachonikela kama wamegoma kutuhudumia wananchi kwa nini wanamuhudumia ulimboka? Na yeye wangegoma tukajua kweli kuna mgomo. Leo hii mnagoma kuwahudumia wakina mama wajawazito wanaotaka kujifungua, na ndugu zetu wote anahudumiwa mtu mmoja huo ni uungwana au ubinafsi? Mnatunyanyasa watu tusiokuwa na hatia wala sio hiyo serikali. Tukimbilie wapi sisi? Na nyie mnaoshabikia mgomo usiombe kupata ajari ghafla ukaenda hospitali na kugomewa kupewa huduma. Utakufa unajiona. So bad.