Kabla hatujaja huku Ughaibuni tulisha fanya kazi ndani ya serikali na mashirika yake.
Hatujazaliwa jana we know very well how CCM government operates.
Ili uwe mtendaji bora wa serikali ya CCM ni lazima uwe Schizophrenia, hawa ni watu ambao brain yao haina sense ya emotion. Hawa ni watu ambao wanaweza kula hata ndani ya choo cha City kwa sababu halufu ya mavi haiwasumbui.
Hawa ni watu wanao weza kuua mtu kwa kumwonea wivu kavaa shati jipya.
Hawa ni watu tangu enzi za form one ni kulilia umonita darasani na ukiranja ili kila siku wafaidi kuona mtu akilamba viboko kwa unaa wao.
Hawa ni watu ambao mkifanya biashara ya ubia na kupata faida millioni moja utakuwa na bahati sana akikupa 100,000 katika millioni.
Serikali dharimu siku zote hupenda kuajiri watu kama hawa katika kazi ambazo huhitaji aina fulani ya unyama.
Uchunguzi hapa Marekani umeonyesha Scizophrenic wengi wanafanya kazi Wall Street na wengi ni Ma CEO wa makapuni yanayopata faida kwa kufanya kila unyama hapa duniani.
Kifupi ni kwamba serikali ya CCM inaongozwa na wagonjwa wa akili.
Ukiwasikia kwenye mazungumzo yao ya faragha utashangaa. Hawana ubinadamu hata unyama hawana wana Uibilisi tu.
Unajua hata Fisi hawezi kupanga njama ya kumla Fisi mwenza lakini ukiwa ndani ya serikali ya CCM mazungumzo ya kuua watu wanaowavurugia mlo wao haramu ni ya kawaida tu.
Ndiyo maana watumishi wengi wa serikali ya CCM wakisha staafu hali yao huanza kuwa duni ndani ya masaa 24 tu ni wagonjwa wa akili bila kufanya unyama maisha yao hayaendi.
Hili changa la macho la kujifanya eti kuna watu wenye hasira ni upuuzi wenye utepetevu wa akili na nia mahususi ya kulinda maovu ya serikali ya CCM. Ushawishi huu duni hauna uhusiano na kitu mna ita Looking Ouside the Box. Msemo umetumiwa kimaharamia na si mahali pake.
Dozi ya ujinga ambayo Ideology ya CCM imewabugiza watanzania ilikuwa kubwa sana, Mungu bariki mwananchi mmoja mmoja anaamka na kutambua uovu wa serikali hii dharimu. Uongo wa karne ya 20 hauwezi fua dafu karne ya 21. Uongo mahali pake ni kwenye mikutani ya NEC kwa akina Mamvi Richmonduli.
Awali ya yote yatupasa kumpa pole na kumuombea apone haraka dakatari wetu huyu bwana Ulimboka na walaaniwe kwa nguvu zote wale wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine.
Wengi wetu kwa asilimia kubwa tumekuwa na imani kuwa, utekelezaji wa jambo hilo ni njama au mkakati wa serikali kupunguza kasi ya harakati za madaktari katika kudai haki zao.
Tunapoihusisha moja kwa moja serikali kwa upande mmoja wa mbele, hebu tugeuke nyuma na kuangalia upande wa pili.
Bila shaka Dk Ulimboka alikuwa na maadui wa hatari wenye chuki binafsi naye hasa kipindi cha vugu vugu hili la migomo ya madaktari. Kuna watu waliopoteza madaraka yao matamu kutokana na kadhia hii, upo uwezekano wa kupanga njama za kulipiza kisasi. Mmmmmmmmh!! hii ni kama Thesis ya Mizengo Pinda vile?
Kutumika polisi si kitu mbele ya pesa. Ukiwa na fungu la kutosha ukitaka kuwatumia polisi njaa kwa ajili ya uhalifu unawatumia bila shida. Ikiwa wapo ambao hufanya ujambazi na kupora mali za watu, itakuwa hawa wa kukodiwa! Tugawanye fikra na mitazamo yetu, wakati tunaitupia jicho la mashaka serikali.
Tuangalie na upande wa pili, wale waliomwaga unga kutokana na harakati hizi tunawachukuliaje? Hapa mhalifu halisi anaweza kujificha chini ya kivuli cha serikali.
Mwisho napenda niwapongeza madaktari wote waliotoa kichapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa alikuwa mmoja wa wateka nyara.
Mungu msaidie Dk Ulimboka apone haraka ili aendelee na harakati zake.