A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Kama jina lilivyo Usalama waTaifa.
Ni chombo kilichoundwa ili kuhakikisha njama zozote za kuturudisha katika mikono ya wakoloni, za nje na za ndani, zinakomeshwa kabla hazijaweza kufanikiwa. UWT kazi yake namba moja ni kulinda Uhuru wa Tanzania kwa kuvunjilia mabali njama za wahaini wanao taka kuua nguvu za uchumi. Kazi yao nyingine kubwa ni kumlinda Rais wa Jamhuri dhidi ya maadui wa ndani na nje. Kutokana na WT kuwepo kwao Ikulu muda mwingi na ukweli kwamba rais wetu hana maadui wa ndani na wa nje kwa sabau amewaridhisha maadui wote ipasavyo hivyo hakuna anayetishia maisha yake! Usalama wa taifa wamekuwa wakifanya kazi ya kuhakikisha kwamba wanalinda kwa gharama yeyote Udhaifu wa mkuu. Hata ikibidi kuua. Lolote analosema na kuwaza mkuu hata kama ni utumbo wa kunuka wa FISI wao hujitoa muhanga na kuhakikisha halipingwi wala kubezwa.

Miaka ya hivi karibuni usalama wa Taifa umekuwa reduced role yake to infinitly small na kuassume kazi ya Group4 au Ultimate Security
. Na sasa UWT ume kuwa reduced even more sasa kuwa Genge la Maharamia wauaji kwa niaba ya chama tawala CCM. UWT are functioning as CCM attack Dogs. This is the biggest shame ever to UWT.
Wakati mwingine hutumika kuiba kura au kuingiza masanduku Fake. Sijui kuiba kura nakuwa mbwa wa CCM kunasaidia vipi kuimarisha Uhuru wa Tanzania??

Kuteka watu mashuhuri wanao ibana serikali na kuwapiga kipigo cha mbwa mwizi huku wakitumia Nembo ya Ikulu na jina na Rais wa serikali ya CCM ni upeo wa juu kabisa wa Uharamia wa serikali ya CCM na vyombo vyake vya usalama na hata Mahakama.

Vyombo vya kulinda uslama wa wananchi vinapogeuzwa na Wanasiasa Dhaifu wa CCM ili kulinda udhaifu wao kwa Gharama ya Damu na hata uhai wa waTanzania ni dalili moja kubwa kwamba hila zote za Utawala wa CCM zimegusa Glass ceiling na kufikia mwisho wake. Ni dalili nyingine kubwa kwamba kikombe cha matendo yao maovu kimejaa na kuanza kufurika. Pia ni dalili moja kwamba saa ya upatilizo wa ghadahbu ya uovu wao imefika na uvumilivu wa wananchi umefikia kikomo. Ni Dalili kwamba serikali imeingia HOFU na woga MKUU kiasi cha kudhani kuua wasemaji wakuu kutaua matatizo yanaikabili kwa udhaifu na Ulegevu wake.

Serikali siku zote hutumia utajiri na uwezo wake kuhakikisha kwamba inatoa huduma za afya bora ili kurefusha maisha ya rasilimali yake kuu yaani watu, hasa watu wale walioelimika vya kutosha kama Dr Ulimboka. Ukiona serikali inatumia Jeshi lake la Polisi au UWT kuua rasilimali yake kuu, watu, kwa visingizio vya UNATUSUMBUA, UNATUCHEZEA,UNAJIFANYA UMESOMA?? Ujue serikali hiyo ni MFU Imebanduka gamba la kusetiri uovu wake na Kifo kinaizengea serikali hiyo kwa hamu.

Hii si mara ya kwanza kwa Usalama wa Taifa chini ya maagizo ya Ikulu kuteka watu kisha baadaye watu hao kukutwa wamekufa katika misitu inayozunguka ukanda wa Dar na Pwani. UWT wamekwisha ua watu wengi wanaoipa ukweli serikali ya CCM na hata wafanya biashara na kudhurumu mali zao kisha kutupa miili yao huko misituni. Huu ni uharifu unaolindwa na Chama Cha mapinduzi na Ikulu ili kudmisha Udhaifu na ulegevu wake. Watu huuawa kwa sababu mara zote mtu akifa chini ya mkono wa UWT kundi la watu hufaidika kwa kupewa malipo makubwa ya mamilioni ya fedha, vyeo na hata sherehe za kupongezana kwa bia na umalaya.
Kubwa kuliko yote, mauaji haya ya kupangwa na UWT kwa amri a Ikulu huhakikisha kwamba yanalinda maslahi ya wachache wanodumisha Ufisadi, Rushwa, Wizi,Uhaini dhidi ya Jamhuri na Ushiriki wao katika kuiuza Tanzania kwenye Mashirika makubwa ya kimaifa ambayo ndiyo Muhimili mkuu wa Ukoloni mambo leo.

Dr Ulimboka kwa standard ya serikali ya CCM ni mtu asiye takiwa kabisa kwa sababu anafichua maovu ya serikali ya CCM katika idara ya Tiba. Dr Ulimboka ni mtu anaye amsha hisia za waTanzania kudai uwajibikaji wa serikali kwa wananchi.
Serikali ya CCM haiko tayari kabisa kuambiwa ukweli wa udhaifu wake wa kugeuza nchi Shamba la BIBI.
Serikali ya CCM inakumbatia wahalifu wote na mharamia wauaji na wapora mali za Watanzania. Kwa Uovu wake Inatoa Ulinzi mkubwa kwa watenda Maovu ambayo ndiyo chanzo cha kuzorota na kudidimia kwa huduma ya afya Tanzania NA UCHUMI KWA UJUMLA.

Naamini kabisa juhudi za kumnunua Dr Ulimboka zilishindikana kabisa.
Naamini kabisa vitisho dhidi ya Dr Ulimboka vilishindika kabisa.
Naamini aina yeyote ya mkwara na uongo wa kutupwa kama divide and rule dhidi ya Dr Ulimboka vyote viishindikana kabisa.
Baada ya kushindwa kuvunja moyo wa ARI wa Dr Ulimboka Amri kuu ilitoka Ikulu ya kummaliza na kuhakikisha kilanga chake kinazimwa milele daima.
Hapo ndipo Majambazi waajiriwa wa UWT na Ikulu walipochukua Gari jeusi na kumbeba kwa nguvu Dr Ulimboka kwenda huko machakani huku wakiamini kwamba hii ndo ingekuwa safari yake ya mwisho.

These F*%ken suckers didn't know that God rules everything including death.
They thought they killed him, now they are dying to cover their evil foot prints
They thought it was over,now they have to face a new bigining and the truth


Dr Ulimboka bado hajamaliza kazi yake, na saa yake ya kurudisha namba bado haijafika.
Vilevile Mungu kamzidishia Uhai ili maadui zake waaibike washindwe na kuangamia milele kwa uovu wao wenyewe.

Serikali ya CCM kwa muda wa miaka 50 imekuwa ikitumia kila hila kuhakikisha kwamba sisi wananchi tunazidi kudumaa katika hali yetu ya MSUKULE.
Waliwahi kutudanganya kwamba Ujamaa ni imani wakati wao wenyewe Imani yao ni fedha na Unyonyaji.
Waliua vyama vya ushiriki vyenye sura ya umoja na ujamaa wa kweli.
Waliwahi kutuambia Kilimo ndiyo uti wa mgongo. Walihakikisha kwamba tunaamini kilimo duniani hulimwa kwa jembe la mkono, kulima kwa trekta ni uvivu na uzembe, kisha wakaua hata hicho kiwanda cha majembe. Wakati huo huo wenyewe kununua matrekta na kulima kilimo cha mashamba makubwa huku wakiendesha magari makubwa ya zaidi ya $100,000.00

Wametumia katiba kunyanyasa watu na kutunyima Uhuru wa kujieleza. Wanahonga wahariri ili wasiandike ukweli na wale wasio kubali hongo wanamwagiwa tindikali machoni ili wasiandike tena.
Sasa wanatuambia nchi inafuata mkondo wa ubepari wakati katiba bado inasema nchi hii inafuata siasa ya ujamaa na kujitegemea. Serikali ya watu waongo na wahaini.

Uongo ukawashinda, wakaanza kutumia fedha.
Wananunua kura, wananunua watu wa kujaza katika mikutano yao iliyo jaa ujinga na matusi ya nguoni.
Wananunua watu wasigombee kupitia vyama vya upinzani.
Wananunua Majaji na kugiza watoe hukumu aina gani.
Wananunua hata haki za mama zao wazazi ili kudumisha UDHAIFU wao
Wanahakikisha fedha haziwafikiii walengwa ili hali duni ya huduma na ustawi izidi kuwabana wananchi.

Sasa wanateka watu na kuwapa kipigo cha kuua ili kudumisha Utawala wao.
Wanadhani watafanikiwa kwa kuua.
Washenzi Vihiyo wakubwa hawajasoma Historia ya dunia ikawaelea. DOLA HUSIMAMA KWA UPANGA HUENDA CHINI KWA UPANGA

Hivi serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni Wababe kuliko serikali ya Egypty iliyoongoza kwa Rungu la Chuma kwa zaidi ya miaka 60??
Serikali ya CCM ni Babe kuliko ile ya Gadhafi?

Kila Siku CCM Wanajivunia AMNI na UTULIVU. Amani ya kuteka na kuua watu kisha bila aibu wanasingizia eti kuna watu ndugu yao kafa kwa hasira wamemteka Dr Ulimboka na kumpiga. Huu ni uongo unao faa kusemwa na kupigiwa makafi kwenye kikao cha NEC ya CCM tu, maana huko ukisema ukweli kazi huna.

Hivi Serikali ya CCM wandhani kuongea Kiswahili ndo kinga ya kufanya vurumai isitokee?? Mbona wasomali wote wanaongea kisomali na wote ni waislamu lakini nchi imesambaratika??

Ninyi Viongozi wa Chama Cha mapinduzi na wa Serikali ya CCM hakikisheni mna pa kufikia huku Ughaibhuni ili siku ikifika msihangaike. Na ninyi UWT mnaotumiwa kama vijiko vya Chips Ole wenu.
 
Mzee Mwanakijiji,Nguruvi3, Mkandara
Nafasi adimu na adhimu imejitokeza tena. Kama ambavyo tunawafundisha njia rahisi wale "mayakhe" kupata ufumbuzi wa matatizo yao. Ni wakati muafaka sasa kutufundisha wadanganyika njia nyepesi ya kuondoa uoza huu unaomaliza jamii yetu. Vipi tunaweza kusafisha uoza/uchafu huu?

Ile chama makini nafasi ya kuleta ukombozi imefika/ imepatikana tena.

Nafasi ya kuiadabisha serikali ilikosekana kutokana na kukosa timing katika sakata la kutaka Pinda na mawaziri wengine kujiuzulu.

Hili nalo likikosa timing, intelijensia na waajiri wao wanapata breathing space,kupanga uchafu mwengine.

Tuendelee kupiga usingizi.
 
Awali ya yote yatupasa kumpa pole na kumuombea apone haraka dakatari wetu huyu bwana Ulimboka na walaaniwe kwa nguvu zote wale wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine.

Wengi wetu kwa asilimia kubwa tumekuwa na imani kuwa, utekelezaji wa jambo hilo ni njama au mkakati wa serikali kupunguza kasi ya harakati za madaktari katika kudai haki zao.

Tunapoihusisha moja kwa moja serikali kwa upande mmoja wa mbele, hebu tugeuke nyuma na kuangalia upande wa pili.

Bila shaka Dk Ulimboka alikuwa na maadui wa hatari wenye chuki binafsi naye hasa kipindi cha vugu vugu hili la migomo ya madaktari. Kuna watu waliopoteza madaraka yao matamu kutokana na kadhia hii, upo uwezekano wa kupanga njama za kulipiza kisasi.

Kutumika polisi si kitu mbele ya pesa. Ukiwa na fungu la kutosha ukitaka kuwatumia polisi njaa kwa ajili ya uhalifu unawatumia bila shida. Ikiwa wapo ambao hufanya ujambazi na kupora mali za watu, itakuwa hawa wa kukodiwa! Tugawanye fikra na mitazamo yetu, wakati tunaitupia jicho la mashaka serikali.

Tuangalie na upande wa pili, wale waliomwaga unga kutokana na harakati hizi tunawachukuliaje? Hapa mhalifu halisi anaweza kujificha chini ya kivuli cha serikali.

Mwisho napenda niwapongeza madaktari wote waliotoa kichapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa alikuwa mmoja wa wateka nyara.

Mungu msaidie Dk Ulimboka apone haraka ili aendelee na harakati zake.
 
Uki-refer maneno ya Ulimboka basi serikali haichomoki hapa.
 
maadui wa ulimboka ni wale wale tuliowazoea !think abt mwakyembe,kiwia,mwenyekiti cdm
 
Kabla hatujaja huku Ughaibuni tulisha fanya kazi ndani ya serikali na mashirika yake.
Hatujazaliwa jana we know very well how CCM government operates.

Ili uwe mtendaji bora wa serikali ya CCM ni lazima uwe Schizophrenia, hawa ni watu ambao brain yao haina sense ya emotion. Hawa ni watu ambao wanaweza kula hata ndani ya choo cha City kwa sababu halufu ya mavi haiwasumbui.
Hawa ni watu wanao weza kuua mtu kwa kumwonea wivu kavaa shati jipya.
Hawa ni watu tangu enzi za form one ni kulilia umonita darasani na ukiranja ili kila siku wafaidi kuona mtu akilamba viboko kwa unaa wao.
Hawa ni watu ambao mkifanya biashara ya ubia na kupata faida millioni moja utakuwa na bahati sana akikupa 100,000 katika millioni.
Serikali dharimu siku zote hupenda kuajiri watu kama hawa katika kazi ambazo huhitaji aina fulani ya unyama.

Uchunguzi hapa Marekani umeonyesha Scizophrenic wengi wanafanya kazi Wall Street na wengi ni Ma CEO wa makapuni yanayopata faida kwa kufanya kila unyama hapa duniani.

Kifupi ni kwamba serikali ya CCM inaongozwa na wagonjwa wa akili.
Ukiwasikia kwenye mazungumzo yao ya faragha utashangaa. Hawana ubinadamu hata unyama hawana wana Uibilisi tu.

Unajua hata Fisi hawezi kupanga njama ya kumla Fisi mwenza lakini ukiwa ndani ya serikali ya CCM mazungumzo ya kuua watu wanaowavurugia mlo wao haramu ni ya kawaida tu.
Ndiyo maana watumishi wengi wa serikali ya CCM wakisha staafu hali yao huanza kuwa duni ndani ya masaa 24 tu ni wagonjwa wa akili bila kufanya unyama maisha yao hayaendi.

Hili changa la macho la kujifanya eti kuna watu wenye hasira ni upuuzi wenye utepetevu wa akili na nia mahususi ya kulinda maovu ya serikali ya CCM. Ushawishi huu duni hauna uhusiano na kitu mna ita Looking Ouside the Box. Msemo umetumiwa kimaharamia na si mahali pake.

Dozi ya ujinga ambayo Ideology ya CCM imewabugiza watanzania ilikuwa kubwa sana, Mungu bariki mwananchi mmoja mmoja anaamka na kutambua uovu wa serikali hii dharimu. Uongo wa karne ya 20 hauwezi fua dafu karne ya 21. Uongo mahali pake ni kwenye mikutani ya NEC kwa akina Mamvi Richmonduli.



Awali ya yote yatupasa kumpa pole na kumuombea apone haraka dakatari wetu huyu bwana Ulimboka na walaaniwe kwa nguvu zote wale wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine.

Wengi wetu kwa asilimia kubwa tumekuwa na imani kuwa, utekelezaji wa jambo hilo ni njama au mkakati wa serikali kupunguza kasi ya harakati za madaktari katika kudai haki zao.

Tunapoihusisha moja kwa moja serikali kwa upande mmoja wa mbele, hebu tugeuke nyuma na kuangalia upande wa pili.

Bila shaka Dk Ulimboka alikuwa na maadui wa hatari wenye chuki binafsi naye hasa kipindi cha vugu vugu hili la migomo ya madaktari. Kuna watu waliopoteza madaraka yao matamu kutokana na kadhia hii, upo uwezekano wa kupanga njama za kulipiza kisasi.
Mmmmmmmmh!! hii ni kama Thesis ya Mizengo Pinda vile?

Kutumika polisi si kitu mbele ya pesa. Ukiwa na fungu la kutosha ukitaka kuwatumia polisi njaa kwa ajili ya uhalifu unawatumia bila shida. Ikiwa wapo ambao hufanya ujambazi na kupora mali za watu, itakuwa hawa wa kukodiwa! Tugawanye fikra na mitazamo yetu, wakati tunaitupia jicho la mashaka serikali.

Tuangalie na upande wa pili, wale waliomwaga unga kutokana na harakati hizi tunawachukuliaje? Hapa mhalifu halisi anaweza kujificha chini ya kivuli cha serikali.

Mwisho napenda niwapongeza madaktari wote waliotoa kichapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa alikuwa mmoja wa wateka nyara.

Mungu msaidie Dk Ulimboka apone haraka ili aendelee na harakati zake.
 
Ni kweli mgomo wa madaktari unatumiiza sana wananchi. Lakini ni afadhali kwani ndiyo njia pekee ya kuishikisha adabu serikalh. Tutapata shida sasa, lakini madaktari wakishinda. Ndio mwanzo wa ushindi wetu sisi wanyonge.
 
Huyo Dr Ulimboka ni msanii,kwanza yeye si mtumishi wa serikali kinachomsukuma akomae ni nini?Awaachie madaktari ambao wako serikalini wadai,yeye amdai anayemfanyia kazi.
Pia inaonekana kuwa alipoitwa kwenye hayo mazungumzo ya 'KUYAMALIZA'alienda yeye na rafiki yake.Hilo suala la mgomo ni la madaktari wote nchi nzima ilikuwaje aende yeye na huyo rafiki yake??hili suala siyo la kirafiki ni la kikazi.HAO WANAPIGA SIASA WAPATE PESA KWA MGONGO WA WENGINE.Kwa hakika inavyoonekana ni mtu anayeweza kununuliwa na akawauza wenzake.NASISITIZA HAFAI NA NDIO MAANA NAPINGA MGOMO HUU INGAWA NA MIMI NIKO IDARA HIYO HIYO.
Unaonesha una wivu wa k#ke kwa ulimboka. Mara ngapi tumefanya kikao kama kweli we ni daktari ulileta hoja ya kumpinga?! We labda uko kwenye idara ya AFYA YA MIFUGO au ni mtoto wa mafisadi! Huna mantiki kwenye Points zako!
 
Ukombozi gani unaouongelea? tufupishe mazungumzo, je upo tayari kulipa sales tax/VAT ya 50% or so, na/au PAYE ya 50+ % kufidia madai ya madaktari? au unadhani watalipwa from where?
Hebu jiulize ni kiasi gani hutumika kwa ubadhirifu tz.juzi tu umesikia bilioni zaidi ya 300 uswisi.tatizo sio hela ni usimamizi mbovu na matumizi yasiyofaa.Na si kweli kwamba madai yao ni mshahara,waulize watakuambia mshahara ni dogo tu hata kwa uzalendo wangeweza kusamehe kama serikali ingekuwa sikivu kama inavyoijisifu.
 
Kabla hatujaja huku Ughaibuni tulisha fanya kazi ndani ya serikali na mashirika yake.
Hatujazaliwa jana we know very well how CCM government operates.

Ili uwe mtendaji bora wa serikali ya CCM ni lazima uwe Schizophrenia, hawa ni watu ambao brain yao haina sense ya emotion. Hawa ni watu ambao wanaweza kula hata ndani ya choo cha City kwa sababu halufu ya mavi haiwasumbui.
Hawa ni watu wanao weza kuua mtu kwa kumwonea wivu kavaa shati jipya.
Hawa ni watu tangu enzi za form one ni kulilia umonita darasani na ukiranja ili kila siku wafaidi kuona mtu akilamba viboko kwa unaa wao.
Hawa ni watu ambao mkifanya biashara ya ubia na kupata faida millioni moja utakuwa na bahati sana akikupa 100,000 katika millioni.
Serikali dharimu siku zote hupenda kuajiri watu kama hawa katika kazi ambazo huhitaji aina fulani ya unyama.

Uchunguzi hapa Marekani umeonyesha Scizophrenic wengi wanafanya kazi Wall Street na wengi ni Ma CEO wa makapuni yanayopata faida kwa kufanya kila unyama hapa duniani.

Kifupi ni kwamba serikali ya CCM inaongozwa na wagonjwa wa akili.
Ukiwasikia kwenye mazungumzo yao ya faragha utashangaa. Hawana ubinadamu hata unyama hawana wana Uibilisi tu.

Unajua hata Fisi hawezi kupanga njama ya kumla Fisi mwenza lakini ukiwa ndani ya serikali ya CCM mazungumzo ya kuua watu wanaowavurugia mlo wao haramu ni ya kawaida tu.
Ndiyo maana watumishi wengi wa serikali ya CCM wakisha staafu hali yao huanza kuwa duni ndani ya masaa 24 tu ni wagonjwa wa akili bila kufanya unyama maisha yao hayaendi.

Hili changa la macho la kujifanya eti kuna watu wenye hasira ni upuuzi wenye utepetevu wa akili na nia mahususi ya kulinda maovu ya serikali ya CCM. Ushawishi huu duni hauna uhusiano na kitu mna ita Looking Ouside the Box. Msemo umetumiwa kimaharamia na si mahali pake.

Dozi ya ujinga ambayo Ideology ya CCM imewabugiza watanzania ilikuwa kubwa sana, Mungu bariki mwananchi mmoja mmoja anaamka na kutambua uovu wa serikali hii dharimu. Uongo wa karne ya 20 hauwezi fua dafu karne ya 21. Uongo mahali pake ni kwenye mikutani ya NEC kwa akina Mamvi Richmonduli.

Mazingira na mpango wa tukio haukutekelezwa kitaalamu kwa kiwango cha wale wenye kazi hiyo unaofikiria wewe. Lazima tutizame pande zote kwani mpango na njama yenyewe haikufanywa kitaalamu. Tunakumbuka wengi waliokufa katika mazingira tata mfano Kolimba, Katabalo nk. Inaonekana waliofanya tukio hili hawana uzoefu unaomaanisha wewe.
 
Back
Top Bottom