A call for Kikwete to resign his presidency

Lol!!! Watu wengine wanachekesha kweli. Sasa wewe hoja yako iko wapi? Au kuandika kwa mihasira ndiyo hoja yenyewe!!!


Unapenda kukurupuka sana wewe.

Hoja ni kwamba rais hana uwezo wa kuliongoza taifa hili au ameshindwa kutimiza yale aliyotuahidi.

1.Kupambana na Rushwa

Kashindwa kushughulikia wezi wa EPA.

Kashindwa kuzuia upotevu wa fedha nyingi uliowahusisha marafiki zake kupitia Kampuni yua Richmondi

Kapiga hatua za mbali zaidi kumtetea mtangulizi wake anayekabiliwa na tuhuma za rushwa yaani Benjamini Mkapa.Hii moja kwa moja inapingana na dhamira yake ya kweli ya kuupinga ufisadi


No. 2. Kashindwa kutumia muda wake vizuri ofisini na kuacha kuzurura huku na huko,ili aweke mikakati mizuri ya kupunguza gharama za safari zake kila kukicha na badala yake awatumie mabalozi wetu nchi za nje kutekeleza majukumu yasimlazimu rais kufuatilia huko.Huu ni ubadhiri ambo moja kwa moja unapingana na dhamira yake ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania


No.3. Kashindwa kuilinda katiba ya Tanzania inayokataza watu kupewa nyadhifa kiubaguzi.Kuwateua marafiki zake kwenye taasisi za umma example,Rweza Mukandala wa UDSM ili kutekeleza matakwa yake binafsi ni matusi makubwa kwa katiba yetu.He must GO!

No.4. Kushindwa kwawajibisha watumishi wa serikali ambao ni wzembe kazini na kufikia hatua ya kuwatetea ni kaosa kubwa


hizo ni chache,wazalendo wengine watakupa hoja nyingine zaidi.Na wewe mkuu na wenzako toa hoja zenu ni kwanini huyu Rais aliyeshinwa asijiuzulu?
 
Unapenda kukurupuka sana wewe.

Hoja ni kwamba rais hana uwezo wa kuliongoza taifa hili au ameshindwa kutimiza yale aliyotuahidi.

1.Kupambana na Rushwa

Kashindwa kushughulikia wezi wa EPA.

Kashindwa kuzuia upotevu wa fedha nyingi uliowahusisha marafiki zake kupitia Kampuni yua Richmondi

Kapiga hatua za mbali zaidi kumtetea mtangulizi wake anayekabiliwa na tuhuma za rushwa yaani Benjamini Mkapa.Hii moja kwa moja inapingana na dhamira yake ya kweli ya kuupinga ufisadi


No. 2. Kashindwa kutumia muda wake vizuri ofisini na kuacha kuzurura huku na huko,ili aweke mikakati mizuri ya kupunguza gharama za safari zake kila kukicha na badala yake awatumie mabalozi wetu nchi za nje kutekeleza majukumu yasimlazimu rais kufuatilia huko.Huu ni ubadhiri ambo moja kwa moja unapingana na dhamira yake ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania


No.3. Kashindwa kuilinda katiba ya Tanzania inayokataza watu kupewa nyadhifa kiubaguzi.Kuwateua marafiki zake kwenye taasisi za umma example,Rweza Mukandala wa UDSM ili kutekeleza matakwa yake binafsi ni matusi makubwa kwa katiba yetu.He must GO!

No.4. Kushindwa kwawajibisha watumishi wa serikali ambao ni wzembe kazini na kufikia hatua ya kuwatetea ni kaosa kubwa


hizo ni chache,wazalendo wengine watakupa hoja nyingine zaidi.Na wewe mkuu na wenzako toa hoja zenu ni kwanini huyu Rais aliyeshinwa asijiuzulu?



Kama hoja zenyewe ndiyo hizi, basi ndiyo maana anajisemea mara kwa mara kwamba ni kelele za mlango.
 
Lol!!! Watu wengine wanachekesha kweli. Sasa wewe hoja yako iko wapi? Au kuandika kwa mihasira ndiyo hoja yenyewe!!!


Unapenda kukurupuka sana wewe.

Hoja ni kwamba rais hana uwezo wa kuliongoza taifa hili au ameshindwa kutimiza yale aliyotuahidi.

1.Kupambana na Rushwa

Kashindwa kushughulikia wezi wa EPA.

Kashindwa kuzuia upotevu wa fedha nyingi uliowahusisha marafiki zake kupitia Kampuni yua Richmondi

Kapiga hatua za mbali zaidi kumtetea mtangulizi wake anayekabiliwa na tuhuma za rushwa yaani Benjamini Mkapa.Hii moja kwa moja inapingana na dhamira yake ya kweli ya kuupinga ufisadi


No. 2. Kashindwa kutumia muda wake vizuri ofisini na kuacha kuzurura huku na huko,ili aweke mikakati mizuri ya kupunguza gharama za safari zake kila kukicha na badala yake awatumie mabalozi wetu nchi za nje kutekeleza majukumu yasimlazimu rais kufuatilia huko.Huu ni ubadhiri ambo moja kwa moja unapingana na dhamira yake ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania


No.3. Kashindwa kuilinda katiba ya Tanzania inayokataza watu kupewa nyadhifa kiubaguzi.Kuwateua marafiki zake kwenye taasisi za umma example,Rweza Mukandala wa UDSM ili kutekeleza matakwa yake binafsi ni matusi makubwa kwa katiba yetu.He must GO!

No.4. Kushindwa kwawajibisha watumishi wa serikali ambao ni wzembe kazini na kufikia hatua ya kuwatetea ni kaosa kubwa


hizo ni chache,wazalendo wengine watakupa hoja nyingine zaidi.Na wewe mkuu na wenzako toa hoja zenu ni kwanini huyu Rais aliyeshinwa asijiuzulu?
 
Kama hoja zenyewe ndiyo hizi, basi ndiyo maana anajisemea mara kwa mara kwamba ni kelele za mlango.


Mbona hujatoa hoja hata moja wewe? Unapoteza muda tu hapa kijiweni kama huchangii chochote zaidi ya kuropoka hovyo
 
Tutaendelea kurudia na kurudia. Huyo JK uwezo mdogo mno kuliko kazi aliyokabidhiwa na watanzania, period. Hivyo basi naunga mkono kabisaaaa hoja ya MWK
 
Tutaendelea kurudia na kurudia. Huyo JK uwezo mdogo mno kuliko kazi aliyokabidhiwa na watanzania, period. Hivyo basi naunga mkono kabisaaaa hoja ya MWK

Hoja siyo tatizo, tatizo ni specifics.

Tunamuomba Kikwete kuresign mwenyewe? Akikataa tutafanyaje? Tutawataka wabunge wampigie kura ya kukosa imani naye? Katika bunge la sasa hili ni practical?

The devil is in the details.Lets be realistic folks and focus on the achievable, like unseating JK in 2010.
 
Hoja siyo tatizo, tatizo ni specifics.

Tunamuomba Kikwete kuresign mwenyewe? Akikataa tutafanyaje? Tutawataka wabunge wampigie kura ya kukosa imani naye? Katika bunge la sasa hili ni practical?

The devil is in the details.Lets be realistic folks and focus on the achievable, like unseating JK in 2010.

Even unseating JK in 2010 is not achievable. Hatujajiandaa wala kuiandaa nchi kwa hilo. Hatuna KIONGOZI wala CHAMA mbadala angalau kwa sasa.
Mfano halisi ni kila anayetajwa humu kwa ajili Urais anashambuliwa hasa!
 
Even unseating JK in 2010 is not achievable. Hatujajiandaa wala kuiandaa nchi kwa hilo. Hatuna KIONGOZI wala CHAMA mbadala angalau kwa sasa.
Mfano halisi ni kila anayetajwa humu kwa ajili Urais anashambuliwa hasa!
you have my support.we should stop dreaming and be realistic.
 
Chama mbadala tunacho,shida ipo kwa hawa viongozi nani atakaye ongoza?
Hakuna hata anayemwamini mwenzake kwenye huu ushirikiano wao.
 
Hoja siyo tatizo, tatizo ni specifics.

Tunamuomba Kikwete kuresign mwenyewe? Akikataa tutafanyaje? Tutawataka wabunge wampigie kura ya kukosa imani naye? Katika bunge la sasa hili ni practical?

The devil is in the details.Lets be realistic folks and focus on the achievable, like unseating JK in 2010.

Pundit,

Hiki kitakuwa kihoja cha karne, hebu kweli JK ajiuzuru?
 
Pundit,

Hiki kitakuwa kihoja cha karne, hebu kweli JK ajiuzuru?

Kujiuzuru tunajua si rahisi sana, hiyo ni sawa na kumwambia fisi auteme mnofu wa nyama ulio kwisha fika kwenye koromeo, Madaraka ni matamu sana, kutembea kwa kimuli muli kila mtu anakutamani, kusema yeye mwenyewe ajitemeshe ulaji si rahisi!

Ninacho jua ni kwamba walau kwa wito na maneno haya yaliyo jaa kila aina ya ukweli, yatamtia shime ageuke na kuirudia kweli ili aweze kukiepuka kikombe cha siki hapo 2010, vinginevyo akae tayari!
 
Kujiuzuru tunajua si rahisi sana, hiyo ni sawa na kumwambia fisi auteme mnofu wa nyama ulio kwisha fika kwenye koromeo, Madaraka ni matamu sana, kutembea kwa kimuli muli kila mtu anakutamani, kusema yeye mwenyewe ajitemeshe ulaji si rahisi!

Ninacho jua ni kwamba walau kwa wito na maneno haya yaliyo jaa kila aina ya ukweli, yatamtia shime ageuke na kuirudia kweli ili aweze kukiepuka kikombe cha siki hapo 2010, vinginevyo akae tayari!

Lakini kama si huyu JKhebu huu uhuru wa kusema tungeupata wapi jamani?
 
Lakini kama si huyu JKhebu huu uhuru wa kusema tungeupata wapi jamani?

Uhuru wa kusema unatolewa na katiba na ni haki ya kuzaliwa ya binadamu. Haya ya kuwa Kikwete ndiye anatoa uhuru wa kusema ni upotofu mkubwa kabisa.

Unadhani kuwa Kikwete ana chaguo hapa? mwambie ajaribu kuzuia uhuru wa kusema ili uone kitakachotokea.
 
Lakini kama si huyu JKhebu huu uhuru wa kusema tungeupata wapi jamani?

Online forums za Watanzania hazikuwapo kabla ya 2005? Watu walikuwa hawasemi?

Je, JK ndiye aliyetupa uhuru wa kusema? watu wamemkoma nyani giladi the arrogant Mkapa to his face, itakuwa mtoto mzuri Kikwete?
 
Lakini kama si huyu JKhebu huu uhuru wa kusema tungeupata wapi jamani?

Duh Kweli tuna safari ndefu kama kuna watu hapa wenye mawazo mgando kama haya, au labda ni matatizo ya baadhi ya watu kuanza kutumia net juzi juzi. Kuongea hapa ni haki yako na si Kikwete au Kiongozi yeyote yule wa kukuamulia. Nadhani darasa la haki za wananchi lianzie hapa hapa JF kwanza kabla ya kuanza kuwaelimisha wananchi wengine mijini na vijijini.
 
Pundit,

Hiki kitakuwa kihoja cha karne, hebu kweli JK ajiuzuru?

Mkuu

Tena vipi mwenzangu? Wewe unaona RAIS wetu JK maji yako shingoni badala ya angalau kumsaidia kumwambia ajiuzuru ili apate kisingizio cha kutoka OFISINI wewe unajaribu tena sijui kusemaje.

Hivi unajua ana mambo mangapi ambayo mpaka sasa ameyawekea vipolo?ukiangalia ripoti ngapi amekalia mpaka sasa au si dalili za kushindwa kazi?

Unataka tufike 2010 bado na mijadala ya EPA, RADA, RICHMOND, MKAPA, nk bila kuanza mijadala mingine ya kimaendeleo? Muda umefika kama kuna mtu amevunja sheria za nchi aongee na mahakama tu basi.

Muda unakwenda hatuna muda mwingine wa kupoteza. kama hawezi kufanya kazi haraka kwa kipindi cha miaka mitano angalau tukaona mwanga wa maendeleo hana budi kujiudhuru. Asiwazeeshe watanzania kwa mambo yanayohitaji kushughulikiwa kisheria.
 
OK,

Lets say tunataka ajiuzulu. Baada ya kupost hapa JF (I doubt he will even see the post) then what?

If we really want him to resign we must come with a plan with viable specifics on how to achieve that.Other than that this will be empty rhetoric za kufurahisha jamvi.

If you talk the talk you gotta walk the walk
 
Mwafrika wa Kike,

Nipo pamoja na wewe katika kilio hiki. JK will be considered a National Hero akichukua hatua hii katika kuliokoa Taifa ambalo kwa Makusudi ameamua kuliangamiza.

JK, Kuna ufahari gani wa kuwa Rais mwenye Qualities ambazo ni kinyume na yale ambayo wananchi wako wanataraji kutoka kwako.?

Umeamua kukumbatia Mafisadi na Kusahau wale ambao walipanga mistari siku nzima ili wakupigie Kura, Wakitegemea Maisha Bora kwa Kila Mtanzania!Yako Wapi?

Muda umefika wa wewe kuyakabili haya kiume na kiungwana!!!

STEP DOWN!



JK ni mshikaji wa karibu na nakwambia akisoma mambo kama haya anacheka anasema vijana hawa vipi ? Niache Nchi ambayo ina gas , mafuta , urenium,na madini kibao eti nimefelisha ? Potele pote na CCM wana haha kuendelea kukandamiza dizaini ya Mugabe .
 
Japokuwa kuzjiuzulu hakuji haraka na wala hatajiuzulu, yet ujumbe wa hii thread ni kuwa hajafikia malengo na matazamio ya wananchi. Kwa anayeweza kusoma katika mistari ya thread ilivyoanza, utajua tu kuwa watanzania wengi hawana tena matumaini na uongozi wa JK na kimsingi ni kuwa serikali iko likizo.

Mfumuko wa bei sasa unaumiza maisha ya watanzania ambao aliwaahidi maisha bora. kauli mbiu ya JK sasa haisemwi popote maana imepoteza maana. Kwa kura zetu, tusikubali tena kumweka madarakani JK hapo mwaka 2010.
Hata hivyo tufikirie namna ya kubadilisha mfumo mzima wa uongozi wa Tanzania ili tufikie malengo.
 
Back
Top Bottom