A call for Kikwete to resign his presidency

kuna kosa gani kwa mtanzania mmoja kumtaka Kikwete ajiuzulu? Je, hata hao watanzania milioni sita hawataitaji kiongozi wa kuorganize move yao?

Kosa ni kwamba kila kila baada ya siku mbili tutahitaji rais mwingine kwa sababu siku ambayo kutakuwa na rais atakayewaridhisha watanzania wote haitakuja.

move haiwezi kuwa yao, wakati aliyeandika yuko MAREKANI amekuaa nyuma ya COMPUTER anajaribu kufunga mijadala ya msingi nayohoji sera za CHAMA FULANI.
 
Kosa ni kwamba kila kila baada ya siku mbili tutahitaji rais mwingine kwa sababu siku ambayo kutakuwa na rais atakayewaridhisha watanzania wote haitakuja.

move haiwezi kuwa yao, wakati aliyeandika yuko MAREKANI amekuaa nyuma ya COMPUTER anajaribu kufunga mijadala ya msingi nayohoji sera za CHAMA FULANI.

kama viongozi kujiuzulu basi hadi leo tungekuwa na viongozi lukuki, ..... wengine wanadai serikali inatumia vibaya kodi zao wakati wao wapo huku ughaibuni, sasa hapa nashindwa kuelewa ni serikali gani wanayoongelea ! na kama ni ya tanzania, basi acha hiyo kodi itumiwe na wale walioko huko tanzania, na kama unataka itumike vizuri nenda tanzania utoe malalamiko yako !
 
Tungeendelea na juhudi za kutafuta suluhisho ya matatizo ya nchi yetu kuliko hili ambalo kutokea naona itakuwa ngumu.

Mimi naona mapungufu ya serikali yetu ila bado sioni hoja hiii natafuta suluhisho.
 
MWK,Jmbo kama hilo halijawa wala halitwaeza kutokea kwa Rais yeyote wa nchi la bara la Afrika....Kwao u rais ni mahali pa kujitunisha matumbo yao,marafiki wao na ndugu zao....kiti ni kitamu ati.

Hebu angalia picha hizi hapa...kweli unafikri mtu anaweza kuachia kiti?...wenzetu wa nchi zilizoendelea wakishakalia kiti baada ya muda wanamomonyoka na sisi kina yakhe ndio tunashawiri na kung'ara


Kikwete2005.jpg
KIKWETE AKIPIGA KURA CHALINZE.

jakaya1.jpg

Rais Kikwete kang'ara na suit ya Valentino $1500.

Sasa linganisha na viongozi hawa wengine

billclinton1992.jpg
Wakati kampeni ya U rais

BillClinton1995.jpg
Miaka miwili ofisini jamaa amechoka angalia uso.

_40824353_blair1997pa.jpg
Alipoingia namba 10 Downing Street..

_40824455_blair2004pabody.jpg
Baada ya miaka miwili ofisini

Ndugu zangu mwangalie tofauti hizo wengine wakiingia ofisini ni kazi mtindo mmoja lakini sisi uongozi tumeufanya ni HOLIDAY
 
urais kwa watanzania ni nafasi ya kwenda trip nje ya nchi na kuishi kwa staarehe.
nashindwa kuelewa kikwete anavyoshindwa hata kuchukua mfano wa mtu kama paul kagame. ( if hawezi kuiga maraisi wa nchi za first world).

Hizo safari za kikwete naona ndo kwanza mnaanza kuhesabu, mwezi ujao anaruka tena Japani, kwenye mkutano wa G8.
 
Rais akijuzulu nini kinatokea kwa Taifa na uongozi wa Taifa, na je kama taifa tuko tayari kulipa gharama ya kujiuzulu kwake? Waziri Mkuu alijiuzulu tukaona yaliyotokea, itakuwaje Rais atakapojiuzulu?
 
sasa kama kazi imemshinda jee mkjj, afanyeje? au kwa kuwa kuna gharama kubwa aendelee tu mpaka muda wake umalize?
 
sasa kama kazi imemshinda jee mkjj, afanyeje? au kwa kuwa kuna gharama kubwa aendelee tu mpaka muda wake umalize?

hiyo ndiyo democracy! Lakini kama kweli tunaona JK "kazi imemshinda" (maneno yako si yangu) basi wenye uwezo wa kumuondoa madarakani ni Wabunge; Yeye mwenyewe kuamua kujiuzulu tu kwa sababu watu wanaona ameshindwa kazi haitatokea. Lakini ikijengwa hoja kupitia Bunge (angalia Katiba jinsi ya kufanya hivyo) basi Wabunge wanauweezo wa kumuondoa Rais aliyeko madarakani.

Hata hivyo the standard to impeach a sitting president is so high that kabla ya mwisho kufikiwa tutakuwa tumefikia 2010. So kwa maoni yangu kama kuna mtu anaona JK ameshindwa, ni jukumu lake kuhakikisha kuwa hachaguliwi tena 2010.
 
bunge kumuzulisha rais ni ndoto kwa sasa. ila nafikiri hii ni changamoto kwa kikwete kujua kuwa watu wamekosa imani kwake na abadili mwendo.
hii si ajabu, juzi tumeona Korea Kusini. popularity ya rais wao ilishuka tu under 20% kutokana na kuruhusu nyama ya ng'ombe kutoka marekani. na yeye ali react kwa kusimamisha manunuzi hayo mpaka mkataba utakapobadilishwa.

hii ni changamoto kwa kikwete.......au mwaka 2010 atajikuta na wakati mgumu
 
Keep Mama's name out of your mouth. Lini umemwona Young akimpigia kampeni Mama na kipi alichochemsha?

Nyani, umesemaje?

Naona unachangia sana kule kwenye thread ya Mjaluo kumbe ishu zenyewe muhimu zinakupita pita, Duuuh!

Nadhani hapa nitakuonea kwa sababu, kama unavyojua, mchezo umeshaisha sasa hivi, na nitakuwa nampiga mijeledi Farasi aliyekwisha kufa.

Young alichemsha aliposema kwamba Mama ni bora zaidi ya Mjaluo kwa sababu Mama ni mke wa mtu ambae ni mweusi kuliko Mjaluo. Mme wa Mama ni mweusi kuliko Mjaluo kwa sababu, Young alidai, ameshakamata wanawake weusi wengi kuliko Mjaluo. Hii ni kwa vile Mme wa Mama anajulikana kwa "kuendekeza."

Na sielewi hili suala lilikupita pita vipi kwa sababu lilihusu mjadala muhimu sana kuanzia mwanzo wa kampeni, suala la sapoti ya Weusi kwa Mjaluo, hususan wale ambao waliona uweusi wake hautoshi.

Sema na hiki kielelezo mtu wangu:

[media]http://www.youtube.com/watch?v=breSVtVYSmo[/media]
 
Nisaidieni kidogo; ni nchi gani hapa duniani ambako Raisi wake alijiuzulu kwa kushindwa kazi? Wakazanieni Wabunge wetu waelewe kwa nini wako pale na watambue MAJUKUMU na WAJIBU wao kwa WATANZANIA badala ya vyama vyao na matumbo yao pekee!
 
Habari ndo hiyo! Kikwete kashindwa kazi, akijiuzulu maana yake Rais anakuwa Shein ambaye atachagua makamu wake na watatumika hadi uchaguzi ujao! Is this what we want? I for one weighing the options, I will live with the evil Kikwete not because he is a delivering material but because I do not trust the alternative. I blame this on our constitution, of course.

Other Constitutions have a provision for the re-election within a certain time but ours is an automatic right of the Vice-President. the irony of this is that not many Tanzanians vote a President because he picked a better running mate. They vote(albeit erroneously) for the man standing for presidency!

Get me right though! I think Kikwete is the wrong person to lead the country. He should not have been elected in the first place, but then the big question as fronted by others herein is, who could have done a better job?

Well, I will not gie the answer now, but we all know that within CCM there were many people running for President who wouldd've done a tremendous job but due to fitina they were rulled out. In the opposition, well not too bad, but may be their choices were limited owing to the political sphere within which we operate.
 
Nisaidieni kidogo; ni nchi gani hapa duniani ambako Raisi wake alijiuzulu kwa kushindwa kazi? Wakazanieni Wabunge wetu waelewe kwa nini wako pale na watambue MAJUKUMU na WAJIBU wao kwa WATANZANIA badala ya vyama vyao na matumbo yao pekee!

Wabunge wanaopokea mshahara wa Shilingi Million moja kwa mwezi (less than 1000 USD) wanaweza kweli kupinga au kumwondoa Rais ambaye serikali yake inawapa nafasi ya kupata posho? By their salaries, they are supposed to live a life of a MMachinga, but is that what they are? Obviously not, thanks for the poshos they receive from the Joke's government and its institutions.
 
Dear Mwafrika wa Kike, I can see that you're dreaming of Kikwete to resign! You better get out of your daydream because you are suggesting the impossible.

Your 2010 vote will solve your problem with Kikwete. Keep on waiting. POLE SANA dada!
 
Dear Mwafrika wa Kike, I can see that you're dreaming of Kikwete to resign! You better get out of your daydream because you are suggesting the impossible.

Your 2010 vote will solve your problem with Kikwete. Keep on waiting. POLE SANA dada!

All in all, isnt it worth discussing it now in preparation for the next elections? By the way I like the style with which this thread was written by the author. Inanikumbusha mashairi ya Saadan
 
kila siku nilikuwa na i over luk signature yako mwafrika wa kike, lakini katika hii thread nimeitilia msisitizo, you go on girl, be the baddest chick out there, so you can make history, kwa wale wanaodhani huu ni upuuzi kila mtu ana haki ya kusema, siye ndio tumemwajiri kama hafanyi yale yaliyomweka wht the point of him kuwa rais, au am missing something here?
 
Mimi nilishasema Jk anapenda starehe,aachane na urais aende kushiriki Big Brother!

Sijui kama huko nako atakua eligible coz suala la Ujasiri nalo ni hewa maanake kashindwa hata kushughulika na hao majambazi huko serikalini.Ila ana qualifications za sanaa,Plz JK just GO,and we shall respect you forever!

Mnaopinga Jk kuresign pia ni haki yenu kidemokrasia
 
Kwa kweli hata mimi inanishangaza kuona watu wazima ambao nina imani wana upeo mkubwa wa kuchanganua mambo,ghafla wanakurupa kama walevi wa pombe za kienyeji kuleta hoja isiyojadillika humu.Ninafahamu suala la uhuru wa kuongea,lakini basi ebu tuwe tunajaribu kutoa hoja ambazo angalau tudhani zinaweza kuleta changamoto za maana.Ndio,najua mtoa hoja lazima awe ni mpinzani,sawa, naliheshimu hilo.Lakini hata kwa wapinzani makini sio rahisi ukisikia wakitoa mapendezo mfu kama ya huyu mama.Sasa,nakuhakikishia wewe na wale wote wanauunga mkono kwamba mpende msipende JK ni Rais mpaka 2015.Kama humtaki,basi hilo ni tatizo lenu binafsi.
Na lazima tuelewe kwamba JK amesimamishwa na CCM ili kusimamia ukelezaji wa Ilani ya CCM.Na hilo ndio analolifanya.Sasa kuanza kumlaumu kwamba eti hana mikakati ni upofu wa kujua masuala ya utawala wa nchi.Sasa,kama mtu ana hoja ailekeze kwa CCM yenye ilani(ambayo ndio mikakati yenyewe).Tusitake kumuonea mtu hapa.CCM ndiyo inayotawala na wala sio JK.Sasa kama mna ubavu, basi,iambieni CCM kuwa iachie hatamu ya uongozi.Sio haki kumlenga mtu wakati hatamu ni ya chama.Msipende kuropoka tu ila mradi mna uhuru wa kufanya hivyo.Muwe mnapima mambo na kuyatafakari kwa kina.



Mkuu,

Wewe ndio mropokaji hapa.Na kuhusu suala la hoja ungekuja hapa na hoja zenyewe ili tukuone kwamba wewe sio mropokaji.

Acha mawazo yako mabovu ya kutulazimisha sisi eti JK ni rais Hadi 2015 hata tusipopenda.Huu ni udikteta wa mawazo na uhayawani.

Ina maana yeye anakubaliana na ilani za CCM,sasa kama anaona hizo ilani ni kikwazo cha uongozi kwake si aachie madaraka? What are you trying to talk about?

Again usije tena hapa kutulazimisha tuamini JK ni president hadi 2015,ni mawazo ya kinazi hayo! Unajifanya unajua mambo ya utawala,na sisi ndio hatujui,Sasa hebu sema katiba inasemaje kuhusu vipindi au kipindi cha rais kuwa madarakani?
 
Lol!!! Watu wengine wanachekesha kweli. Sasa wewe hoja yako iko wapi? Au kuandika kwa mihasira ndiyo hoja yenyewe!!!
 
Lol!!! Watu wengine wanachekesha kweli. Sasa wewe hoja yako iko wapi? Au kuandika kwa mihasira ndiyo hoja yenyewe!!!


Unapenda kukurupuka sana wewe.

Hoja ni kwamba rais hana uwezo wa kuliongoza taifa hili au ameshindwa kutimiza yale aliyotuahidi.

1.Kupambana na Rushwa

Kashindwa kushughulikia wezi wa EPA.

Kashindwa kuzuia upotevu wa fedha nyingi uliowahusisha marafiki zake kupitia Kampuni yua Richmondi

Kapiga hatua za mbali zaidi kumtetea mtangulizi wake anayekabiliwa na tuhuma za rushwa yaani Benjamini Mkapa.Hii moja kwa moja inapingana na dhamira yake ya kweli ya kuupinga ufisadi


No. 2. Kashindwa kutumia muda wake vizuri ofisini na kuacha kuzurura huku na huko,ili aweke mikakati mizuri ya kupunguza gharama za safari zake kila kukicha na badala yake awatumie mabalozi wetu nchi za nje kutekeleza majukumu yasimlazimu rais kufuatilia huko.Huu ni ubadhiri ambo moja kwa moja unapingana na dhamira yake ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania


No.3. Kashindwa kuilinda katiba ya Tanzania inayokataza watu kupewa nyadhifa kiubaguzi.Kuwateua marafiki zake kwenye taasisi za umma example,Rweza Mukandala wa UDSM ili kutekeleza matakwa yake binafsi ni matusi makubwa kwa katiba yetu.He must GO!

No.4. Kushindwa kwawajibisha watumishi wa serikali ambao ni wzembe kazini na kufikia hatua ya kuwatetea ni kaosa kubwa


hizo ni chache,wazalendo wengine watakupa hoja nyingine zaidi.Na wewe mkuu na wenzako toa hoja zenu ni kwanini huyu Rais aliyeshinwa asijiuzulu?
 
Back
Top Bottom