ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
kuna kosa gani kwa mtanzania mmoja kumtaka Kikwete ajiuzulu? Je, hata hao watanzania milioni sita hawataitaji kiongozi wa kuorganize move yao?
Kosa ni kwamba kila kila baada ya siku mbili tutahitaji rais mwingine kwa sababu siku ambayo kutakuwa na rais atakayewaridhisha watanzania wote haitakuja.
move haiwezi kuwa yao, wakati aliyeandika yuko MAREKANI amekuaa nyuma ya COMPUTER anajaribu kufunga mijadala ya msingi nayohoji sera za CHAMA FULANI.