GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,572
- 108,927
"Huwa wanakaa katika Nyumba Moja huku Wake zao wakiwa busy kuwapelekea Vyakula. Na baadhi yao ni Wasomi wakubwa sana tu hadi wana Doctorates ( PhD ) zao"
Nukuu hii nimeitoa EFM Radio Asubuhi hii baada ya kumsikia Bwana Innocent Mungi Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wizara ya Habari na Teknolojia akitiririka na kuserereka zake kama Mtaalam na Mngwena ( Mjuzi ) wa Mambo haya TEHAMA ( ICT ) katika Kipindi cha Joto la Asubuhi.
Wana Ifakara Morogoro Shikamooni.
Nukuu hii nimeitoa EFM Radio Asubuhi hii baada ya kumsikia Bwana Innocent Mungi Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wizara ya Habari na Teknolojia akitiririka na kuserereka zake kama Mtaalam na Mngwena ( Mjuzi ) wa Mambo haya TEHAMA ( ICT ) katika Kipindi cha Joto la Asubuhi.
Wana Ifakara Morogoro Shikamooni.