Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 11,054
- 15,923
ANgetoka kwanza kwenye chama š¤£Labda wakimtoa
ANgetoka kwanza kwenye chama š¤£Labda wakimtoa
Akihama chama kingineANgetoka kwanza kwenye chama š¤£
Tunamsubiri saa 2Akihama chama kingine
Watakoma
oAchaneni na polepole anawadumaza akili
Ndoto,ndoto za Mchana ni uongo!Wiki ijayo tarehe 29/08 vumbi la kampeni litaanza rasmi kutimka.
Hivyo watanzania wamekaa tayari kusikilza sera za vyama 14 ambavyo vitaanza kunadi ilani zao.
Na, Octoba 29 watanzania watatumia haki yao ya kidemokrasia ya kupiga kura.
Hatuna muda wa kumsikiliza kidudu mtu.
Tuna macho na masikio yamebebwa na kichwa,Wacha tuone na kusikia!mtu mzima mwenye heshima, familia na wajibu halali wa kujipatia kipata kamwe hawez kubebwa ufala wa kifikra na kupumbazwa na msukule mpotoshaji kama hamprhey polepole
hicho ni kiwango kibaya sana cha umaskini wa kifikra š
Tunamtumia wifi za jirani!Wale tutakaotumia simu,tusisahau kuchaji mapema! Huenda kukawa na katizo la umeme!
Bundles ziwe za kutosha!
VPNs ziwe active.
Simu moja tuu ikamaliza biasharaNimesikia risasi moja aliyopiga kuhusu jinsi RA alivyopoka mgodi wa makaa ya mawe uliokuwa urejeshwe serikalini kwa maafisa wa serikali kupokea simu moja tu kutoka juu. Nikajisikia kizungu-zungu ghafla.
Vv
Kwani ni mbali sasa tutaona hicho kipya aluchonacho polepole au mlichonachoSio kila siku ni Jumatatu, tusiishi kwa kukariri