21st to remember. Tarehe 21 ya kukumbukwa.. A count down!

21st to remember. Tarehe 21 ya kukumbukwa.. A count down!

Miaka ya 90 Remmy Ongala alishaimba kuhusu CCM kuishiwa, akasema imekufa. Na kwa kuonyesha jinsi gani anaamini hivyo akatoa wimbo unaitwa Mrema, akimsifia jinsi anashughulikia walanguzi na wala rushwa.

Baada ya Remmy Ongala, miaka ya 2000 akaja Munishi, huyu alisema CCM imeishiwa pia na inasemekana ikabidi Munishi ahame Tanzania kwa misukosuko aliyopata kutokana na nyimbo zake. Wimbo maarufu wa Munishi ni Malebo.

Mwaka 2015, ikasemekana CCM imeishiwa na inazikwa rasmi kwa Lowasa kwenda Chadema.

Mwaka 2025 leo hii Mshana anasema CCM inazikwa kwakua Humphrey katoa tangazo.

Kama haujui historia unaweza tikiswa na vitu vidogo sana
Muda ukifika hata tone la maji linauwezo Wa kupasua mwamba haijalishi limedondokea hapo Kwa miaka mingapi
 
Me nawashangaa sana watu mnaoamin et sisiem wata surrender kwa maneno tu 🤣🤣🤣
Ukwel n kwamba you need an extra power to make ccm weak
 
Wiki ijayo tarehe 29/08 vumbi la kampeni litaanza rasmi kutimka.
Hivyo watanzania wamekaa tayari kusikilza sera za vyama 14 ambavyo vitaanza kunadi ilani zao.
Na, Octoba 29 watanzania watatumia haki yao ya kidemokrasia ya kupiga kura.
Hatuna muda wa kumsikiliza kidudu mtu.
Hakuna mtanzania mwenye muda ma hizo kampeni chafu. Mtakachofanya ni kuwapa boda boda mafuta, kuwavalisha tishet na buku tano tano, kusomba watu kwenye malori. Hakuna mtanzania atakayekuja kwenye hiyo mikitano kwa hiari yake
 
Na wewe uliamini kabisaa hilo?!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Poleni sana nyumbu wa lissu.
Chawa, trh 29 Morogoro, mmepanga kukusanya wanafunzi kwanzia F3, watumishi wa Umma wote wameambiwa wafunge ofisi kwenda kwenye mkutano wa Rais, wengine watasombwa na mabasi ya Abood. Mnalazimisha kukubalika, acheni watu waende mkutanoni kwa hiari yao, ndo tupime huko kukubalika kwenu. Vilaza tu nyie.
 
kulikoni msukule polepole ukubebe ufala kifikra mdau wa JF mnobevu mwenye heshima kama wewe?

kimekupata nini hata kufikia kiwang?o hicho kibaya zaidi cha umaskini wa contents?


au umezidisha imani potofu za kishirikina na ramli chonganishi?🐒
1755694105044.jpg
 
Miaka ya 90 Remmy Ongala alishaimba kuhusu CCM kuishiwa, akasema imekufa. Na kwa kuonyesha jinsi gani anaamini hivyo akatoa wimbo unaitwa Mrema, akimsifia jinsi anashughulikia walanguzi na wala rushwa.

Baada ya Remmy Ongala, miaka ya 2000 akaja Munishi, huyu alisema CCM imeishiwa pia na inasemekana ikabidi Munishi ahame Tanzania kwa misukosuko aliyopata kutokana na nyimbo zake. Wimbo maarufu wa Munishi ni Malebo.

Mwaka 2015, ikasemekana CCM imeishiwa na inazikwa rasmi kwa Lowasa kwenda Chadema.

Mwaka 2025 leo hii Mshana anasema CCM inazikwa kwakua Humphrey katoa tangazo.

Kama haujui historia unaweza tikiswa na vitu vidogo sana
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.. Tusiishi kwa mazoea eti kwakuwa juzi na jana ilikuwa hivi basi leo na kesho itakuwa vilevile.. There is always next time
 
Mshana Jr

Polepole hata aseme Samia na CCM ni mashetani, hakuna Mtanzania atayezingatia....

Watanzania wapo kama nyumbu, wanaifuata hatari na kuangamizwa....

Wakishakuwa kifoni ndio wanatambua kwamba walikabiliwa na hatari, na sasa ni wafu wasioweza kuamka tena...

Mavuguvugu ya kuamsha uhai wa Watanzania yameshafanywa na wanasiasa wengi hapo nyuma tangu Mrema hadi Lissu, lakini wafu hawa wameendelea kulala katika mauti...

Kitu pekee kinachoweza kuleta mabafiliko ni CCM wenyewe huko ndani waamue kubadilika ama kama chama au kikundi fulani chenye nia dhahiri na njema kumeguka...
Labda Mtanzania wewe!
 
Chawa, trh 29 Morogoro, mmepanga kukusanya wanafunzi kwanzia F3, watumishi wa Umma wote wameambiwa wafunge ofisi kwenda kwenye mkutano wa Rais, wengine watasombwa na mabasi ya Abood. Mnalazimisha kukubalika, acheni watu waende mkutanoni kwa hiari yao, ndo tupime huko kukubalika kwenu. Vilaza tu nyie.
Humu utaonekana mchambaji tu kama giggy money, weka ushahidi wa unachokisema. Bado sana kufikia viwango vya ccm nyie nyumbu wa lissu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom