21st to remember. Tarehe 21 ya kukumbukwa.. A count down!

21st to remember. Tarehe 21 ya kukumbukwa.. A count down!

Nafikiri mnge deal na mwanachama mwennzenu muachane na chadema tuna mambo mengi ya kufanya, kesi za kusimamia...tusipotezeane muda pumbavu.
Ila chadema ndiyo iachwe izungujzie ccm badala ya makusanyo wa tone tone, sio? Hivi unajua hata mada yenyewe inahusu nini'?!!!
 
CCM hamna viwango vyovyote vya kujipata, bila polisi, msajili na mahakama nyie ni nyanya tu
Hivi huwa upo hai siku ccm inafanya jambo lake?!!! Mfano, ulikuwa hai siku uchukuaji wa fomu za wagombea mbalimbali wa ccm ulipofanyika?!!! Ule ndo ukubwa. Chukueni nyie muone kama Kuna hata mmoja atahangaika.
 
Ila chadema ndiyo iachwe izungujzie ccm badala ya makusanyo wa tone tone, sio? Hivi unajua hata mada yenyewe inahusu nini'?!!!
Nafikiri mnge deal na mwanachama mwennzenu muachane na chadema tuna mambo mengi ya kufanya, kesi za kusimamia...tusipotezeane muda pumbavu.
 
Mnaandika sana lakini mkumbuke polepole ni ccm tu hana jipya,walikuwepo kina mrema,mtikila,nk na ccm yao bwana wameondoka,hana jipya!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom