2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hadi nguvu ya kucheka unayo??

Of course nilijua kuna watu wana ustahimilivu kwenye maumivu.

Ila sikukadiria kama itakuwa kwa ukubwa huu.

Endeleeni kuni prove wrong.
Mimi GOAT wangu nilikua namdai wedikap, akaichukua 2022 maana ndio kilichokua kimebaki, wewe wako Bado unamdai na hiyo inakupain sana kwenye uwanda huu wa soka la DUNIA kuona kashazeeka ndoto zimezama.
 
Taratibu naona mmeanza kusogea mmoja mmoja.

Leo umeanza na post moja, keep going bro that's big progress I can say.

Kesho unaweza kuachia mbili mpaka tatu kulingana na hali ya majeraha maana vidonda najua bado ni vibichi.

And I promise you, when you post it I will be there to congratulate for the little step that you've made.

Nyie ndio mfano halisi wa ile kauli maarufu ya "time heals"

Baada ya game ilionekana ngumu sana kutegemea kuona hiki ulichoweza kukifanya leo.

Could you give us some tips, so maybe we can help other brothers too who shared the same pain but don’t seem to have recovered yet?

Da'Vinci herman joshua ombeni maujanja hayo kwa jamaa sio mpaka mimi nijiongeze.

Nitawasaidia mpaka lini? Kuna muda na mimi nitakuwa nachoka, jiongezeni.
Picha tu umeumia hivi hadi kutaka kunipangia cha kufanya.

Gazeti lako hili linaonyesha uliyoyajaza ndani yako.
Cry more Anko.
 
Screenshot_20260722_100405_Instagram.jpg


Kombe lenye hadhi zaidi kwenye mpira wa miguu, ni ndoto ya kila mchezaji kushinda kombe hili
 
Mbuzi 🔥🔥🔥
 

Attachments

  • Deixamos a descrição para vocês 😂🔊#sporttvportugal #MUNDIALnaSPORTTV #MundialFIFA2026 #Portuga.mp4
    3.2 MB
Mimi GOAT wangu nilikua namdai wedikap, akaichukua 2022 maana ndio kilichokua kimebaki, wewe wako Bado unamdai na hiyo inakupain sana kwenye uwanda huu wa soka la DUNIA kuona kashazeeka ndoto zimezama.
Mimi simdai kitu.

Labda huyo GOAT wako ili aweze kukaa kwenye uzani sawa na Ronaldo at least akacheze EPL na a-maintain ubora

Akitoka hapo aende Italy kwenye ligi yenye mabeki wagumu aka shine na huko.

Baada ya hapo akachukue na UEFA 3

Hapo tutakuwa sehemu sahihi kufanya comparison.
 
Mimi simdai kitu.

Labda huyo GOAT wako ili aweze kukaa kwenye uzani sawa na Ronaldo at least akacheze EPL na a-maintain ubora

Akitoka hapo aende Italy kwenye ligi yenye mabeki wagumu aka shine na huko.

Baada ya hapo akachukue na UEFA 3

Hapo tutakuwa sehemu sahihi kufanya comparison.
🤣🤣🤣🤣 Hii Kali sijawahi kusikia, kumbe kipimo cha kua MCHEZAJI mzuri ni kucheza serie A na premier league 😁😁😁
 
🤣🤣🤣🤣 Hii Kali sijawahi kusikia, kumbe kipimo cha kua MCHEZAJI mzuri ni kucheza serie A na premier league 😁😁😁
Sasa kama top league ndio zinazotoa ushindani wa juu kwanini hiyo isitumike kama factor?
 
Wote tulikuwa ni mashabiki namba moja wa Ronaldo mpaka pale FIFA walipoamaua kuingiza siasa na kutugawanya.

FB_IMG_1784719400953.jpg
 
Back
Top Bottom