2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mi kama die fan wa shabiki wa Ronaldo kiukweli sina tatizo kabisa na Messi

Tatizo langu kubwa siku zote ni ule upendeleo wa FIFA na injustice wanayofanya.

Messi na Ronaldo wote ni wachezaji wazuri, most talented and gifted football stars. Lakini hata hivyo kuna mmoja amekuwa protected sana na mifumo wakati huyu mwingine ni mpaka apitie misoto ya changamoto ndio apate hiyo recognition.

Of fourse nakubali kuwa ubora unapaswa kushangiliwa na sio sawa kutumika kama instrument ya kugawanya.

Uwe shabiki wa Ronaldo au Messi, wote tunahitaji kuwaona hawa viumbe kama role model and source of motivation, kwenye real life hata katika ulimwengu wa soka.

Kwangu mimi, nimechagua kum idolize yule ambaye alisimama against an entire system na bado aka out perfom na kuwa kwenye kilele cha juu cha ubora.

Namchagua mtoto mwenye umri wa miaka 12 aliyetokea kwenye kisiwa cha Madeira Ureno akiwa hana kitu, na kwenda kuwa bilionea wa kwanza kwenye historia ya mpira wa miguu kupitia kipaji chake.

Mwisho wa siku, I don’t take pleasure in someone’s pain or downfall. But the way some of you take pleasures in Cristiano Ronaldo’s down falls speaks volumes.
Screenshot_20260721-111101.png
 
Stats za Messi kwenye World Cup fainal ya 2014 vs Germany 🇩🇪:
1 key pass.
2 crosses (0 accurate).
25 accurate passes (69%).
3 accurate long balls (60%).
4 shots (0 on target).
1 big chance missed.
7 successful dribbles (12 attempted).
27 times possession lost.
9 duels won (24 contested).
0 goal.
0 assist.

Messi kwenye World Cup final ya 2026 vs Spain 🇪🇸:
0 key pass.
5 crosses (1 accurate).
27 accurate passes (79%).
1 accurate long ball (20%).
1 shot (0 on target).
3 successful dribbles (3 attempted).
15 times possession lost.
8 duels won (12 contested).
0 goal.
0 assist.

Which team did a better job at containing the GOAT?
View attachment 3634124
Tupe na za Ronaldo kwenye fainali zake za World Cup.
 
Tupe na za Ronaldo kwenye fainali zake za World Cup.
Za Ronaldo tulishazijadili ile siku ambayo alitolewa.

Now ni Messi ambaye ametolewa
FB_IMG_1784634703447.jpg

Na sasa tunajikita zaidi kuangazia stats zake ambazo zinaweza kuchochea kupata Ballon d'Or.

FB_IMG_1784634706176.jpg
 
Put your hands up if you can relate
 
Mara tatu zote timu iliposhindwa kuweka rekodi ya kupata hata shuti moja la on target kwenye World Cup tangu 1966

Nyuma ya hizi stats kuna star ambaye ni kikwazo

FB_IMG_1784634820723.jpg
 
Ndugu zangu mashabiki wa Messi, swali moja kwenu ambalo mnapaswa kujiuliza ni, Messi angekuwa wapi bila Negreria na Infantino?

Nakubali kuwa ni mchezaji bora, mwenye kipaji ambacho hakijawahi onekana kabla. Maono yake, uwezo wake wa kupiga pasi na dribbling skills are all insane.

Lakini wachezaji wote wazuri wanahitaji mataji kudhihirisha thamani zao, bila upendeleo wa kimfumo, bila upendeleo kutoa kwa marefa ambao ni wa miaka na miaka, angeweza kushinda hayo mataji yote ambayo saizi ako nayo?

Dont believe me at all, ask yourself this question. Some of you are well educated, google the facts over the last 20 years.

Na saizi mambo yamerahisisha kuna hadi AI, angalia ushindi wa Barcelona kwenye Champions League I'm telling you, you might find some rigged ones.

Angalia yote yaliyotokea kwenye kipindi cha Negreria case. Ngoja niwakumbushe kidogo.

1784638996875.jpeg

Negreira alikuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Waamuzi ya Hispania (CTA). Kamati hii ndiyo yenye mamlaka ya kuchagua refa gani achezeshe mechi gani (ikiwemo El Clásico)

Ni kamati ambayo ilikuwa na mamlaka ya kuamua nani apandishwe daraja kwenda La Liga, na nani ashushwe daraja.

Huyu Negreria amepata umaarufu kupitia tuhuma mbaya zilizofanya kesi yake kupewa jina lake.

Jina lake limekuwa kubwa kimataifa kutokana na "Kesi ya Negreira" (Negreira Case).
Screenshot_20260721-161738.png

Unaweza kujiuliza Kwanini?

Jibu hili hapa.

Kampuni zake binafsi zilibainika kupokea mamilioni ya euro sawa na zaidi ya bilioni 20 za kitanzania kutoka kwa klabu ya Barcelona wakati yeye akiwa bado kiongozi wa marefa.

Na ukumbuke kuwa mwaka 2016 refa msaidizi Pau Norbert Cebrián Devis. alikuwa suspended kwa wiki mbili kufuatia ushahidi wa wazi ambao ulimkuta na hatia ya kuipendelea Barcelona kila inapochezwa El Classico.
Screenshot_20260721-160725.png


Pau Norbert Cebrián Devis. alikuwa hadi dressing room ya Barcelona anaingia, hadi kwenye korido za kuelekea dressing room alikuwa pamoja na wachezaji wa Barcelona.

Mechi ya Argentina Vs Netherlands kwenye World Cup ya 2022, ni mechi ambayo ilikuwa na matukio mengi ya vurugu, faulo nyingi huku Argentina wakiepuka adhabu nyingi ikiwemo matukio ya kadi nyekundu.

Wanna know who was incharge that day?
1784639564050.jpeg

Kwenye nusu fainali ya Copa America ya 2007 kuna tukio moja tata alifanya Messi la kushika mpira kwa mkono tena makusudi katika dakika za mwisho za mchezo.
1784640731012.jpeg

Na wakati huo Messi alikuwa tayari ana kadi ya njano aliyoipata kwenye michezo iliyopita, hiyo ina maana angepewa kadi ya pili ya njano kwa kosa la kushika mpira kwa mkono ingemfanya akose mechi ya fainali.

Lakini hakupewa kadi ya njano.

Septemba 2014 aliyekuwa refa mstaafu Carlos Chandía aliyechezesha hiyo mechi ya nusu fainali, alifanya mahojiano na kituo cha habari cha ESPN alisema hivi namnukuu

"Nilienda kwa Messi na kumwambia: 'Hili kosa ni la kadi ya njano, lakini ishu hii itakugharimu jezi yako.' Sikuonyesha kadi."
1784640758421.jpeg

Kwa hiyo kosa la Messi lilikuja kuwa solved kwa jezi.

Ndio maana nasisitiza muda mwingine it's not about giving an unfair penalty or red card, sometimes the referee helps by calling every 50-50 foul is one team's favour.

Hiyi ndio maana ya systematic corruption inavyofanywa.

Najua humu ndani baadhi yenu hamumpendi kabisa Ronaldo na kwa Messi mna upendo wa kuwafanya hadi muonekane vipofu, you would rather be in delusion than be corrected. That's also fine.

Kwenu naweza kusema ni sawa kusapoti na kusherehekea cheating lakini tambua watu wanasema Karma always hit back.

Rodri kachukua tuzo ya Golden ball akiwa hana assist, hana goli sijui kuhusu dribbles kama anazo ila nauhakika sio kwa kiwango cha kum outnumbered Messi.

1784639790251.jpeg

Situation kama hii ya Rodri ingemkuta Messi, miongoni mwenu hakuna ambaye angeweza kuthubutu ku doubt uhalali wa hiyo tuzo.

Now Karma is coming back.

FB_IMG_1784636034155.jpg
 
comrade_kipepe Mjomba Malume Da'Vinci herman joshua hearly Ziroseventytwo hydroxo Countrywide Al-mukheef Mi mi moudgulf Poker
adrenaline BUSH BIN LADEN

🚨Breaking News: fainali inaweza kurudiwa!

FIFA imesema maamuzi tayari yamefanyika kupitia kikao chake cha dharula huku tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa asubuhi ya kesho.
1784643416094.png


Kulingana na repoti kutoka vyanzo vya ndani, Kocha wa Argentina amedai kuwa baada ya mechi kulikuwa na matukio yasiyo ya kawaida kwenye dressing room wakati wa half time.

Refa huyo aliendelea kusema, walichagua kukaa kimya wakati wa mchezo lakini waliapa kufunguka baada ya mchezo kuisha.

Ripoti ya Argentina ya malalamiko tayari imewasilishwa rasmi FIFA ikiomba uanzishwe uchunguzi.

Inadaiwa kwamba CCTV footage zinaonesha kuna vitu visivyokuwa vya kawaida (liquid substance) kuwekwa katika vyakula kwenye dressing room waliyotumia Argentina.

Madaktari na wataalamu wa FIFA wamebaini kuwa vimiminika hivyo vilikuwa na uwezo wa kusababisha misuli kukaza na mwili kuchoka.

Meanwhile, ile footage ambayo inasemwa kuwa ni ya siri, tayari imevujishwa na sasa imeanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
FB_IMG_1784640940326.jpg

Kufuatia haya madai, FIFA imeamua fainali kurudiwa upya.

Mechi hiyo ya fainali inatarajiwa kupangwa mwezi August tarehe 35
 
Sasa Messi ametolewa?
Habari ya mechi ya fainali kurudiwa imechelewa kunifikia.

Naomba radhi sana kwa kuandika uzushi wa kwamba Messi ametolewa.

Ngoja tusubi hiyo tarehe 33 mwezi wa August tuone nani bingwa.
 
Scars nimekaa nimetulia nimemfatilia ronaldo nimegundua kweli ni zaidi ya Messi, ronado anapiga vibaiskeli kitu ambacho Messi hawezi, messi anakokota tuu mpira na mguu mmoja wa kushoto, Messi ni kama kilema hawezi kutumia mguu wa kulia za ya kuutumia tuu kupanda kitandani.

Ronaldo anapiga sana header kitu ambacho Messi hawezi.

Kuna namna naanza kuamini ronaldo ni zaidi ya Messi kombe la DUNIA sio ishu sana, nilikosea tuu mda wa kumfuatilia mwamba huyu kutoka pale jijini Lisbon ureno


View: https://www.instagram.com/reel/DXzfGx3MPqw/?igsh=MWY5a2NieWg0NHUycQ==
 
Back
Top Bottom