hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,253
- 79,953
For sure maybe aamue kutundika daluga tuHuyu Messi hata 2030 atacheza.
For sure maybe aamue kutundika daluga tuHuyu Messi hata 2030 atacheza.
Ukichimama mshale ukikaa mchaleMashabiki wa ronaldo leo hatuna kichaka, akishinda Messi shida, wakishinda vijana wa Barcelona pia shida
😆😆😆 Kuna jamaa kaachia distrack Kwa cr7 na mashabiki wake inatrend kinoma
Tunaumia sana team penduUkichimama mshale ukikaa mchale
Mnooo born to be greatDuuh nyota ya dogo ni kali sana aiseee
Lakini jamaa sianahela Tayari wamepata baada ya kulipwa na fifa inakuwaje Tena amlipie !?
😆😆😁😁 Kile kichwa kina matatizoYule jamaa mbishi mbishi kakimbia hii post naona😆
😁😁Mara ya mwisho naongea nae aliniambia ananishukuru kwa kila kitu,
Sijui hali yake huko 😂 💔
😁😁😁Toka
😁🤣hahahaaaaaaaaaa timu za scars hizo
Scars alisema tiketi hazinunuliki tena baada ya mbuzi kutoka.
🤣🤣🤣 Bora vita ya 3 ya Dunia ilipuke ghafla tournament iishie hapoScars kesho upo upande gani mkuu maana Spain ulisema una hate watch na huku kwa Messi ndio kabisa hutaki kupasikia 😄 au Bora kombe liibiwe.
Kikosi Bora dhidi ya nani !?Tuchel ni maandazi kweli. Mechi ya nusu fainali aliweka yeboyebo moja inaitwa Madueke. Kikosi bora kama hiki aliweka benchi.
Ndio maneno mliyoishia kuwa nayoHuyo kocha msxnge sana, saka angekuwepo ile siku, ingekuwa habari nyingine
🤣🤣View attachment 3632451
Goat wetu wa kireno asijali, kwa utajiri alionao anunue hizi Pete 5, kwahiyo itakua kamzidi messi ubingwa wa Dunia itakua kachukua X5
France wakawaida ila alikuwa anakutana na vibondeHii gemu imetuthibitishia kuwa kumbe kweli France hakustahili kucheza final
Mashabiki wa ronaldo leo hatuna kichaka, akishinda Messi shida, wakishinda vijana wa Barcelona pia shida