2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ila maisha bana 🤣.

Hii siyo AI. Ni picha ya kweli kabisa.

Hapo ni Messi akipiga picha na Lamine Yamal akiwa kama vile anamuogesha.

Nadhani ilikuwa mwaka 2005.

Jumapili wanakutana MetLife stadium kama ma superstar wa timu zao katika fainali za kombe la dunia 2026!

View attachment 3630710
FB_IMG_1784376856600.jpg
 
Kweli chuki Haina sababu. Messi kwa yote aliyofanya unaanza vipi kumchukia? Messi ametupa burudani zote zile na still kuna mtu ana chuki naye.
Messi sio beki labda tuseme unamchukia kwa rafu zake , sio mgomvi ila mchezaji ambae amepigwa sana rafu na mabeki na still yupo humble.
Kumchukia messi ni sawa na kuuchukia mpira au mkuu wewe mpira hupendi maana si kwa chuki hizi
 
Kweli chuki Haina sababu. Messi kwa yote aliyofanya unaanza vipi kumchukia? Messi ametupa burudani zote zile na still kuna mtu ana chuki naye.
Messi sio beki labda tuseme unamchukia kwa rafu zake , sio mgomvi ila mchezaji ambae amepigwa sana rafu na mabeki na still yupo humble.
Kumchukia messi ni sawa na kuuchukia mpira au mkuu wewe mpira hupendi maana si kwa chuki hizi
Toka
 
Vijana wa Arsenal wamechachamaa sema offside




1784409241297.png
 
Back
Top Bottom