Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,221
Yule jamaa mbishi mbishi kakimbia hii post naona😆
Mara ya mwisho naongea nae aliniambia ananishukuru kwa kila kitu,Yule jamaa mbishi mbishi kakimbia hii post naona😆
Scars kakimbia mazima😆Nani huyo?
Alikua anaishi kwa tabu sana, hivi unawezaje kumchukia Messi vile?😃Mara ya mwisho naongea nae aliniambia ananishukuru kwa kila kitu,
Sijui hali yake huko 😂 💔
Ila maisha bana 🤣.
Hii siyo AI. Ni picha ya kweli kabisa.
Hapo ni Messi akipiga picha na Lamine Yamal akiwa kama vile anamuogesha.
Nadhani ilikuwa mwaka 2005.
Jumapili wanakutana MetLife stadium kama ma superstar wa timu zao katika fainali za kombe la dunia 2026!
View attachment 3630710
Kweli chuki Haina sababu. Messi kwa yote aliyofanya unaanza vipi kumchukia? Messi ametupa burudani zote zile na still kuna mtu ana chuki naye.
TokaKweli chuki Haina sababu. Messi kwa yote aliyofanya unaanza vipi kumchukia? Messi ametupa burudani zote zile na still kuna mtu ana chuki naye.
Messi sio beki labda tuseme unamchukia kwa rafu zake , sio mgomvi ila mchezaji ambae amepigwa sana rafu na mabeki na still yupo humble.
Kumchukia messi ni sawa na kuuchukia mpira au mkuu wewe mpira hupendi maana si kwa chuki hizi
Inatia uvivu kuangaliaHii game ya England vs Frace haina vibe kabisa
Wewe inaonekana mpira huupendi, enjoy football mkuu . Football ni kwa akili ya kuenjoy sio kukunja nditta 😀