2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hii mechi ina matukio mawili tu ambayo ni muhimu.

Kwenye hayo mawili ushindi wa upande wowote sio sehemu yake.

Kane afunge au Mbappe afunge. Haya ndio matukio ambayo ni muhimu yanayotarajiwa na wengi kwenye hii mechi.


Nashangaa baadhi ya wavimba macho humu
FB_IMG_1784410120486.jpg


Eti yanafurahi kuona France anavyofungwa wanahisi hiyo inatuumiza sisi mashabiki wa France.

Wakati hata England kwetu ni mwanetu pia.
 
Back
Top Bottom