Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,366
- 10,393
Ila usikuš¤£Za ndani kabisa bosi mmoja wa timu za Kariakoo kamtengea kibunda aje kukiwasha NBC PL msimu ujao [Za ndani hizi]
Ila usikuš¤£Za ndani kabisa bosi mmoja wa timu za Kariakoo kamtengea kibunda aje kukiwasha NBC PL msimu ujao [Za ndani hizi]
Mabao ya kutosha
Nitake radhi siwezi kushabikia babu mwenye wajukuu tunaolinganaš¤£š¤£pumbafuuuu kabisa shabiki wa ronaldo wewe
Umeyaona mabao kumi?Hujawahi kunielewa wewe
Almanusra ile kwenuView attachment 3632365
Ubao unapendeza sana
Umeambulia mkuuView attachment 3632365
Ubao unapendeza sana
Hakika nimeyaona kwa macho yangu ya nyamaUmeyaona mabao kumi?
Usiku huu?Ngoja nijiandae na ibada ya kwanza sasa
Hii ndo mechi yenye mabao mengiAisee
Ila yake uliyoyashangilia wewe ya Mbappe sijapendezwa nayoHakika nimeyaona kwa macho yangu ya nyama
Watu mnapenda kuumia bureAll in All...
Naitakia ushindi Spain