Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,366
- 10,386
Ila yake uliyoyashangilia wewe ya Mbappe sijapendezwa nayoHakika nimeyaona kwa macho yangu ya nyama
Ila yake uliyoyashangilia wewe ya Mbappe sijapendezwa nayoHakika nimeyaona kwa macho yangu ya nyama
Watu mnapenda kuumia bureAll in All...
Naitakia ushindi Spain
Kwanini sasa mkuu🙄Ila yake uliyoyashangilia wewe ya Mbappe sijapendezwa nayo
Au sio 😂😂Mechi za mshindi wa tatu ziwage hivi. Kushambuliana tu tuone magoli. Ikiwezekana mabeki wasiwe wanacheza😁
Wallah yule babu ananizaa🤣Daaah
Amefikisha mabao 10 ila sio mbaya namuamini MessiKwanini sasa mkuu🙄
Kwamba unang'ata mara mbiliHujawahi kunielewa wewe
Tusubiri na tuone🔥Amefikisha mabao 10 ila sio mbaya namuamini Messi
Mimi ni team Messi huko kwingine ni kutembea tembea tuKwamba unang'ata mara mbili
Ngoja tuoneSawa game ya usiku wa leo karibu kiti chako kipo mbele kabisa utasaidizana na uran kuleta burudani
Una maanisha nini mkuu?Hamna kitu humo
Messi asipopata kombe basi hata tuzo ya mchezaji bora wa mashindano ipo .Goli la 10 Kwa mbape
Messi Haiii nakusalimia👏👏👏
Messi : camera wowo, andapacha wowo
Nilitaka kushangaa,mtu ambae ulisema kuwa unamkubali Ronaldo sababu ni Handsome,ana mapaja mazuri na mrefu,utashabikiaje Argentina.SPAIN wako anaenda kugongwa leo.Leo tupo Spain