Funny boe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 3,469
- 7,769
Japo inawezekana Ufaransa wakawa walishatobolewa na spain Wakatoliki pakubwa ila huyu tuchel anatufanyia kusudi ili kutufelisha, wanaopaswa kushinda ili wapate kiatu hajawaweka na waliopaswa kuanza ili walete ndoo nyumbani hakuwaweka kikosini