England ile kipindi cha pili haikuwa na attempt dakika 20. Alianza Madueke wakati wachezaji wa maana wapo. Ilianza defensive mapema sana. Ilikuwa ni mbinu mbovu za kocha.France nyeupe sana, hata England wangerejesha kina Beckham wasingepata hata sare mbele ya ile Argentina ya Messi yenye njaa na ubingwa wa Dunia mkuu.
#Hallelujah!!!
no, its midlefieldFrance hawana kipa
Mach haina mvutoTupate tu hata hiyo 3rd place
Naona third place is coming home
Huko kwingine hawana lolote. Ila kipa wao mzito pia.no, its midlefield
Confusion sanaJapo inawezekana Ufaransa wakawa walishatobolewa na spain Wakatoliki pakubwa ila huyu tuchel anatufanyia kusudi ili kutufelisha, wanaopaswa kushinda ili wapate kiatu hajawaweka na waliopaswa kuanza ili walete ndoo nyumbani hakuwaweka kikosini
Naona unaenjoy mabao mengiNakuona una ambulia chochote kitu
Hizi goli 2 za Saka zingekuwa za Kane si illikuwa big deal kabisa?
View attachment 3632320
Lakini kocha kaamua yake
View attachment 3632321
Huyo kocha msxnge sana, saka angekuwepo ile siku, ingekuwa habari nyingineHizi goli 2 za Saka zingekuwa za Kane si illikuwa big deal kabisa?
View attachment 3632320
Lakini kocha kaamua yake
View attachment 3632321