2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Japo inawezekana Ufaransa wakawa walishatobolewa na spain Wakatoliki pakubwa ila huyu tuchel anatufanyia kusudi ili kutufelisha, wanaopaswa kushinda ili wapate kiatu hajawaweka na waliopaswa kuanza ili walete ndoo nyumbani hakuwaweka kikosini
 
Hizi goli 2 za Saka zingekuwa za Kane si illikuwa big deal kabisa?


Lakini kocha kaamua yake
 
Japo inawezekana Ufaransa wakawa walishatobolewa na spain Wakatoliki pakubwa ila huyu tuchel anatufanyia kusudi ili kutufelisha, wanaopaswa kushinda ili wapate kiatu hajawaweka na waliopaswa kuanza ili walete ndoo nyumbani hakuwaweka kikosini
Confusion sana
 
Back
Top Bottom