2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mbappe - 10 goals in 1 world cup
Messi - 8 goals in 1 world cup
Haaland - 7 goals in 1 world cup
Bellingham - 7 goals in 1 world cup
Dembele - 7 goals in 1 world cup
Harry Kane - 6 goals in 1 world cup

Cristiano Ronaldo - 11 goals in 6 world cup
Pendu anapitia wakati mgumu sana kwenye maisha yake ya soka, na hii chanzo ni yeye mwenyewe matambo mengi na kujiona bora kuliko wenzake majivuni mengi sana yule mswahili wa ureno.

#Hallelujah!!!
 
A message from the chosen nation

🗣️ "We support Argentina in so many ways, including tomorrow. I don't hide that I'm rooting for Argentina. I think most Israeli citizens are rooting for Argentina.

Good luck! Vamos Argentina!"
 
My first time to see Messi looking tall
FB_IMG_1784453342592.jpg
 
Being a messi fan isn’t easy

Imagine
Unatakiwa uitetee FIFA
Unatakiwa kuitetea Israel
Unatakiwa kuitetea CCM
Unatakiwa kutetea Ballon d'Or robbery
Unatakiwa kumtetea na Giani Infantino
Unatakiwa kutetea corruption
Unatakiwa kutetea scandal na kashfa za marefa

FB_IMG_1782666566035.jpg
 
Mbappe - 10 goals in 1 world cup
Messi - 8 goals in 1 world cup
Haaland - 7 goals in 1 world cup
Bellingham - 7 goals in 1 world cup
Dembele - 7 goals in 1 world cup
Harry Kane - 6 goals in 1 world cup

Cristiano Ronaldo - 11 goals in 6 world cup
Cristiano anawaumiza sana kina Scars ni vile tu hawawezi kukiri. Imagine hiyo performance ya goat wao. Huyu ni goat kweli au Magoti Mkama wa Ukerewe?
 
Cristiano anawaumiza sana kina Scars ni vile tu hawawezi kukiri. Imagine hiyo performance ya goat wao. Huyu ni goat kweli au Magoti Mkama wa Ukerewe?
Kama Messi akishinda World Cup nyingine kitu ambacho nauhakika anaenda kufanikiwa.

Tunaenda kumpa title kubwa zaidi kuliko GOAT
FB_IMG_1784450694042.jpg


Tutaanza kumuita Ronaldo
 
Aiseeee wapi nilisema ana mapaja mazuri!!? Leta ushahidi hata wa screenshot

Yaani kumbe huwa unafatilia hadi mapaja yake mkuu yule ni mchumba wa mtu na watoto watano punguza fantasy kwa mwanaume wa watu
Nilitaka kushangaa,mtu ambae ulisema kuwa unamkubali Ronaldo sababu ni Handsome,ana mapaja mazuri na mrefu,utashabikiaje Argentina.SPAIN wako anaenda kugongwa leo.
 
Tangazo kwa Umma:

Umoja wa Mashabiki wa Argentina nchini Tanzania (UMATA) tunawakaribisha katika mtanange wa Fainali mashabiki wote wa soka.

Mechi ya leo usije na matokeo yoyote, matokeo utayakuta hukuhuku.

Ikitokea tumefungwa, kumbukeni tayari tushabeba ndoo hiyo mwaka 2022 pale Qatar.

Mechi ya leo ni Dulla anakutana na Abdallah hivyo mashabiki nguli hasa wa Real Madrid mchukue tahadhari.

Vibonzo vyenu vihifadhini maana havina nafasi hata tukifungwa.

Tunatoa pole kwa mashabiki wote wa Mbuzi Pori kwa kuhama kila kichaka katika kipindi chote cha mashindano na bado wakakutana na vipigo.

Leo tunabeba ubingwa mwingine huku Mbuzi akitajwa kama Mchezaji Bora wa Mashindano na lile puto la Ballon d’or tunalitaka.

Karibuni sana kwenye mchezo wa Fainali.

Muione taarifa kwenye jalada
Shadeeya
uran
OHB11
mwaibile
Am_tunnechi
Espy_
Proved
Xi Jinping
moudgulf
View attachment 3632486
Safi sana. Leo ni burudani tu.
 
Hadi Trump anaelewa vizuri kuhusu FIFA Princess

Yet some Pessi minions are pretending to be blind

"Unless your team losses" (Argentina)


FIFA Princess scandal has gone too far even Trump noticed it
 
So hearly, na fellow minions ni shabiki wa Argentina

Na mnachukia hivi vitendo






Ila unatetea hivi vitendo
FB_IMG_1783003927276.jpg





FB_IMG_1781683200002.jpg
FB_IMG_1781686584191.jpg
FB_IMG_1783112877541.jpg
FB_IMG_1783451855959.jpg


Tupe sababu kwanini tusikuone snitch?
 
Back
Top Bottom