Natamani hata baada ya hapo asirudi Uingereza, apitie huko huko tuKila wakimuonyesha Tuchel matusi yananitoka automatically. Mpuuzi sana huyu faza.
Napenda mabao mengi ila sio kama hiviNaona unaenjoy mabao mengi
Naye angefuata mfumo angepaki basi kama wenzakeHuyo kocha msxnge sana, saka angekuwepo ile siku, ingekuwa habari nyingine
Kwamba mumfunge Argentina hivyo au ungekutana na Ufaransa nusu?Kabisa...
I wish hii ingekuwa ile semi
Jamaa anafanya kusudi huyo, ili kuifelisha timuHuyo kocha msxnge sana, saka angekuwepo ile siku, ingekuwa habari nyingine
Wao ndio wanafanya ikose mvutoMi naona ni mechi nzuri tu.
France wanaplay low
Kuna mtu hapa amesema Ufaransa atakimbia na chupi mkononi sasa sijui anamaanisha niniNapenda mabao mengi ila sio kama hivi
Kumbafuuu kijanaKuna mtu hapa amesema Ufaransa atakimbia na chupi mkononi sasa sijui anamaanisha nini
Habari nyingine mbele ya Messi?Huyo kocha msxnge sana, saka angekuwepo ile siku, ingekuwa habari nyingine
Wahuni wanamsubiriNatamani hata baada ya hapo asirudi Uingereza, apitie huko huko tu
fifa walimkataza asianzishweHuyo kocha msxnge sana, saka angekuwepo ile siku, ingekuwa habari nyingine
fifa walimkataza asianzishwe
Hongera mzee mkubwa, umeokota chochote kitu si haba.Mi naona ni mechi nzuri tu.
France wanaplay low
Wana laana ya N'Golo Kanté.Ufaransa wakati kombe la dunia linaanza walikuwa wanatisha sana ila wanamaliza kibwege kabisa