Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,505
- 34,224
Siamini kama umetumia akili kuandika hiki uliachoandika. Very average, nilihisi wewe ni mtu humbleNick punguza kiherehere inaonekana baada ya kuchapiwa akili imeisha kabisa una ID NGAPI?
Siamini kama umetumia akili kuandika hiki uliachoandika. Very average, nilihisi wewe ni mtu humbleNick punguza kiherehere inaonekana baada ya kuchapiwa akili imeisha kabisa una ID NGAPI?
SahihiKabla yake wamepita nyota wengi sana na baada yake watakuja wengi wazuri..
Argentina haijawahi kukosa vipaji na mafundi wa Mpira..
Siamini kama umetumia akili kuandika hiki uliachoandika. Very average, nilihisi wewe ni mtu humble
I agreeI'm a Ronaldo fan but I will always say the truth when I see it. Although I love the way Ronaldo plays, his dribbles, free kicks and other stuff he does....but everyone knows the truth that messi is better than bruno Fernandez. 🤣🤣😂😂😂
No broh, I'm seriousSarcasm at it highest
Huku ni kumkosea Cristiano, ama labda uwe unachangamsha jukwaa tu.Hivi tukiweka ushabiki pembeni kati ya Ramadhan Chobwedo na Cristiano Ronaldo yupi mchezaji bora? 😅🤣😂
Duuh nyota ya dogo ni kali sana aiseee
Mara ya mwisho naongea nae aliniambia ananishukuru kwa kila kitu,Yule jamaa mbishi mbishi kakimbia hii post naona😆