comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,123
- 16,127
Mzuka hamna tena world cup ishaisha
TokapaWewe inaonekana mpira huupendi, enjoy football mkuu . Football ni kwa akili ya kuenjoy sio kukunja nditta 😀
Yeah ni nzuri. Sema mechi za mshindi wa tatu hazinaga vibeNi mechi nzuri sana
Hamna kitu humoMkuu Mbappe bado atacheza mechi ya kumtafuta mshindi