Satan
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,065
- 3,333
Kabla mashindano hayajaanza ulifikiri Chelsea angeweza kufika hapa?Mmmh...! Mkuu hii si carabao ni FIFA world club cup 2025, si pa kutabiri kwa historia bali ni kujitoa kwa jasho na damu na umakini wa wachezaji wa timu yoyote kushinda kombe.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Kama ilitoboa UEFA zile za Munchen na Man City ambazo ubora wao hata PSG hajafikia, basi hashindwi kwenye hii fainali.
Lolote linaweza kutokea na Chelsea ana nafasi pia.