Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,303
- Thread starter
- #1,721
Hasta la vista Luca Modric
Kwa jicho la soka fainali imeshaishaTunasubiria Fainal jumapili
We jamaa ni fala sanaHili litimu balaaaa jamani yaani wanacheza boli mpaka kibamia kinasisimuka.
Jamani tuache utani ulaya watu wanacheza mpira bwana.
Huku africa kelele nyingiiii hamna kitu
PSG walizingua ile project yao ya Neymar na Mbampe ingeworkout tu tatizo walipoanza kuwasajili akina Messi na Ramos hapo walijichanganya sanaNaunga mkono hoja.
Kina Mbappe, Neymar na wengine walishindwa kupata mafanikio nje ya France.
Sasa timu inaenda kuwa club bora duniani.
Chelsea wanataka kujiharishia kila wakifikiri zahama inayokuja kocha anakazi sanaHasta la vista Luca Modric
Chelsea wangeomba kama Kuna uwezekano waingie muda wa medali wasepe zao
Hasta manyana refa kamaliza kibabe 90Hasta la vista Luca Modric
Yaani hili goli la mwisho limeniaminisha kuwa PSG kwa sasa inawachezaji quality sanaChelsea wangeomba kama Kuna uwezekano waingie muda wa medali wasepe zao
Mbona wanabeba ChelseaChelsea wangeomba kama Kuna uwezekano waingie muda wa medali wasepe zao
Ila Chelsea Ina moto wake nitasubir uchambuzi wa hiyo mechiMbona wanabeba Chelsea
Jamaa ni njau kwelikweliDaah Erik jau sana huyu jamaa anavyoshangili utadhani sijui ameahidiwa nini