Siugopi ila naogofya mkuuHata wewe huogopi?
Siugopi ila naogofya mkuuHata wewe huogopi?
Uliangalia mpira kweli mkuu?Ila hakuna aliyetia aibu kama Bayern kufungwa na watu Tisa dharau sana
Mechi ilikuwa ngumu kweli ila kufungwa watu wakiwa Tisa ni dharau au we unaonajeUliangalia mpira kweli mkuu?
Hio mechi Enrique alikuwa hana amani nusu kutoa machozi kwa jinsi alivyokuwa anashambuliwa...
Kukua kiakili ni kutambua kuwa Vitinha ni bora kuliko Pedri
Kwa mtu ambaye hakuangalia mpira sawa. Ila kwa aliyeangalia, hapana.Mechi ilikuwa ngumu kweli ila kufungwa watu wakiwa Tisa ni dharau au we unaonaje
Umeona ee Wana midfield sio za karne hii aiseHizi midfielders za PSG ndo zinasababisha maumivu kwa timu pinzani
Bado wanapumuaPiga haoooooo
Hili goli la nne nimeanza kuamini maneno yako kiongoziKwa mtu ambaye hakuangalia mpira sawa. Ila kwa aliyeangalia, hapana.
Pia nyekundu zilipatikana dakika za 85+ baada ya PSG kutangulia goli moja.... Kwa Mpira huu wa kisasa huu kutangulia kufunga bao ina matter sana...
Madrid ameaibisha mapema first half hatujaona uhondo wa gemu, tofauti na bayern ambayo first half ilikuwa mtafute mtafute.... Na pia bayern aliingia wavuni mara mbili ila zilikuwa offside
Ah wapi hapo kuna bao la 5....Bado wanapumua
Naomba unipe takwim kati ya madrid ja inter mianmi nani amepata on target nyingi dhidi ya psg