2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

RMA ni kikundi tu cha wahuni
Screenshot_20250709-225814_Facebook.jpg
 
Luis Enrique anawaonyesha watu kwamba timu sip lazima ukusanye mastaa ndio ishinde makombe Bali vijana wafoho wenye vipaji.

Mmiliki wa PSG ametupa pesa nyingi sana kununua wachezaji mastaa ila hakuweza kufanikiwa kubeba taji la ulaya akaona aajiri kocha Bora Ili amletee anachokitaka na kweli kimemlipa
Naunga mkono hoja.
Kina Mbappe, Neymar na wengine walishindwa kupata mafanikio nje ya France.
Sasa timu inaenda kuwa club bora duniani.
 
Back
Top Bottom