Daah Erik jau sana huyu jamaa anavyoshangili utadhani sijui ameahidiwa nini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbaga Jr mechi ya fainali kama vip tuwakodishe man u waje kubeba lawama
Waongeze za nini wakati mtu mzima aibu tupuHakuna Dk ya nyongeza.
Ft
4-0
Amewanusuru maana bao la 5 lilikuwa linanukiaRefa muhuni hajaongeza ata dakika maana kaona mtu mzima kasha dhalilika hapa
Hili litimu balaaaa jamani yaani wanacheza boli mpaka kibamia kinasisimuka.
Jamani tuache utani ulaya watu wanacheza mpira bwana.
Huku africa kelele nyingiiii hamna kitu
Nawakumbuka kina Amrabati nacheka sana 😃😃Hili litimu balaaaa jamani yaani wanacheza boli mpaka kibamia kinasisimuka.
Jamani tuache utani ulaya watu wanacheza mpira bwana.
Huku africa kelele nyingiiii hamna kitu
Wote wamepata on target 2Naomba unipe takwim kati ya madrid ja inter mianmi nani amepata on target nyingi dhidi ya psg
Hawa PSG ni vichaa wanachapa kipondo sio poaHili litimu balaaaa jamani yaani wanacheza boli mpaka kibamia kinasisimuka.
Jamani tuache utani ulaya watu wanacheza mpira bwana.
Huku africa kelele nyingiiii hamna kitu
Refa muhuni hajaongeza ata dakika maana kaona mtu mzima kasha dhalilika hapa