2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

Nilichogundua Hawa PSG ukitaka kuwaweza Bora wasikupanie ila wakikupania ni jau sana
Ukicheza nao
Ukijifanya hushambulii watakushambulia.

Ukijifanyabunawavuta waje na kweli wnkuja

Ukijifanya unawashambulia utawakuta golini kwako usijue ni muda gani umepokonywa mpira.

Kifupi hakuna club kwa sasa inapimana ubavu na psg
 
Barcelona nao wanawasubiria kwenye ligi, Courtois anajitahidi kuzipunguza.
 
Quality ,quality tu mpira mchezo rahisi sana ukileta quality inayoendana na mfumo wako mfano Madrid ya kina Cr7 mchezaji kama Garcia ,Valverde ,Gonzalo na Guller wote wangekuwa bench

Plus wachezaji wakongwe kina Vini na Rudiger kiwango kimeporomoka sana ,kinachoniuma tu hata hatuhusishwi na wachezaji wa maana .
 
Ukicheza nao
Ukijifanya hushambulii watakushambulia.

Ukijifanyabunawavuta waje na kweli wnkuja

Ukijifanya unawashambulia utawakuta golini kwako usijue ni muda gani umepokonywa mpira.

Kifupi hakuna club kwa sasa inapimana ubavu na psg
Kweli kiongozi Hawa jamaa hawaeleweki.....nahisi the blues wanajuta kuomba wakutane na yoyote Bora wangemtolea zaka Madrid tu
 
Luis Enrique anawaonyesha watu kwamba timu sio lazima ukusanye mastaa ndio ishinde makombe Bali vijana wadogo wenye vipaji.

Mmiliki wa PSG ametupa pesa nyingi sana kununua wachezaji mastaa ila hakuweza kufanikiwa kubeba taji la ulaya akaona aajiri kocha Bora Ili amletee anachokitaka na kweli kimemlipa
 
Back
Top Bottom