2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

Psg jana walicheza hovyo lakn naona wamewaroga wachambuz wa hapa bongo kwa kuendelea kuisifia psg
Bayern haikuwa na mpango mzuri nadhani kocha wao sio mzuri wa mbinu ila Jana walikuwa na nafasi ya kumuondoa PSG
Madrid ndio team pekee nadhani haijapoteza mchezo hadi Sasa
Hili kombe wanabeba tena mapema tu
 
Bayern haikuwa na mpango mzuri nadhani kocha wao sio mzuri wa mbinu ila Jana walikuwa na nafasi ya kumuondoa PSG
Madrid ndio team pekee nadhani haijapoteza mchezo hadi Sasa
Hili kombe wanabeba tena mapema tu
Madrid ni adui yangu mim kama shabik wa barca,dortmund alaf psg aliifunga tim yangu ya liverpool kila la kheri xabi
 
Ndio maana naipenda ligi ya uingereza kuhusu makusudio ya kumvunja mchezaji mguu yaan ukionyesha meno ya viatu tu hata yasipofika kweny mguu unakula umeme

Hii imefanya matukio ya kuvunjna miguu kuisha

Hili tukio la musiala limeniumiza sana hadi mzuka wa kuchek game ikaisha

kwani Musiala alinyooshewa mguu?
 
Ndio maana naipenda ligi ya uingereza kuhusu makusudio ya kumvunja mchezaji mguu yaan ukionyesha meno ya viatu tu hata yasipofika kweny mguu unakula umeme

Hii imefanya matukio ya kuvunjna miguu kuisha

Hili tukio la musiala limeniumiza sana hadi mzuka wa kuchek game ikaisha
Musiala alitakiwa kumruka kipa hivi vitu huwa wanafundishwa sana mazoezini
 
Ilituchukua miaka 59 (1961-2020) kujenga vituo 8,783 vya kutolea huduma za afya.

Mama ametumia miaka minne (2021-Aprili 2025) kujenga vituo 4,063.

Kwa miaka 10, atajenga vituo sawa na tulivyojenga tangu uhuru.

#TikiKwaSamia
 
Ilituchukua miaka 59 (1961-2020) kujenga vituo 8,783 vya kutolea huduma za afya.

Mama ametumia miaka minne (2021-Aprili 2025) kujenga vituo 4,063.

Kwa miaka 10, atajenga vituo sawa na tulivyojenga tangu uhuru.

#TikiKwaSamia
Huna akili wewe na story zako za kahawa ungekuwa unajua hela za walipa kodi zinavyopigwa ungekaa kimya
 
Back
Top Bottom