uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 11,504
- 27,287
Bayern haikuwa na mpango mzuri nadhani kocha wao sio mzuri wa mbinu ila Jana walikuwa na nafasi ya kumuondoa PSGPsg jana walicheza hovyo lakn naona wamewaroga wachambuz wa hapa bongo kwa kuendelea kuisifia psg
Madrid ndio team pekee nadhani haijapoteza mchezo hadi Sasa
Hili kombe wanabeba tena mapema tu