2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

Chelsea wanaupiga mwingi, naona Fluminence wanacheza kwa tahadhari kubwa huku wakishtukiza mashambulizi. Ila huyu Arias wa Fluminence ni mtu hatari sana.
 
IMG_20250708_223809.jpg

Chelsea anabahati, wanacheza Hadi na mikono kwenye box ila VAR inakataa
 
Mpira ukiaza gusa sehemu nyingine ya mwili kisha ukaja kwenye mkono iyo sio handball
 
Back
Top Bottom