uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 14,683
- 20,460
FtUko vizuri mzee
FtUko vizuri mzee
Mfumo Mbovu, wakiwa kwenye box lao hawafanyi marking nzuri, magoli YOTE yamefungwa wafungaji wakiwa free kabisa bila kukabwa na MTU, Yani watu wako 9 nyie 11 halafu kukaba MTU na MTU mnashindwa wakati nyie mko Weng?Kocha unamlaumu vipi hapo?
Itakuwa tamu sanaTusuburi game ya BVB
🤣🤣🤣 wewe ukiwa kocha unaweza ukaua wachezajiMfumo Mbovu, wakiwa kwenye box lao hawafanyi marking nzuri, magoli YOTE yamefungwa wafungaji wakiwa free kabisa bila kukabwa na MTU, Yani watu wako 9 nyie 11 halafu kukaba MTU na MTU mnashindwa wakati nyie mko Weng?
Mkuu upo?Mnakula kichapo cha aibu
Sana leo tutawashangaza watuItakuwa tamu sana
SIO ukaua, kama hutimzi majukumu NI makosa, Yani mnaminywa mnajaa kwenye boX lenu halafu mpigaji anamuangalia kipa anachagua pakupiga!?🤣🤣🤣 wewe ukiwa kocha unaweza ukaua wachezaji
Mmeushangaza kwerikweriLeo Bayern tutaushangaza ulimwengu
Makocha huwa wanalaumiwa sababu ndio wanafanya selection ya wachezaji, kwa hiyo akipangwa mchezaji anaekosa magoli lawama pia ni kwa kocha ,kwa nini ampange anaekosa magoli.Kocha unamlaumu vipi hapo?
Nasema anarudi tena nje yaani alipotoka kuuguza majerahaAmefanyiwa sub
Wazee wa BVBSana leo tutawashangaza watu
Ewaaaah!Wazee wa BVB
Bingwa PSGFainali
Chelsea VS PSG 😎
Mnawakati mgumu sana siku ya leoEwaaaah!
Leo ni siku ya kulipiza kisasiMnawakati mgumu sana siku ya leo
Mentality ya wachezaji wa Bayern kwa dakika zile za mwisho za nyongeza ilikuwa ni kushambulia zaidi sio kuzuia au kumark ntu na ntu.Mfumo Mbovu, wakiwa kwenye box lao hawafanyi marking nzuri, magoli YOTE yamefungwa wafungaji wakiwa free kabisa bila kukabwa na MTU, Yani watu wako 9 nyie 11 halafu kukaba MTU na MTU mnashindwa wakati nyie mko Weng?
Hamtafurukuta Master.Leo ni siku ya kulipiza kisasi