2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

man of the match ANGEL DI MARIA lakn ilifaa kipa wa auckland apewe tuzo lakn wapga kura wamemuangusha
Wapiga kura wazingatie hata team inapopoteza mchezo bado iweze kutoa man of the match dogo lazima apate "endorsement"team kubwa kubwa japo nadhani bado ni mwanafunzi
 
Nimefurahi ndugu zetu wa Tunisia wameibuka.
Esperence 1 - 0 Los Angeles
Bayern 2- 1 Boca Juniors

Leo Saa Moja.
Mamelodi vs Borussia Dortmond (game ngumu)

Saa Nne
Intermilan vs Urawa

Prayer and thoughts over Mamelodi
 
Mzee Hizi Ranks Zinatolewa na FIFA Wenyewe, Sio Unakuja Kudanganya danganya Watu, Na Points Zipo Kama Ifuatavyo
1. Premier League - ENGLAND 85.9
2. Serie A-ITALY 84.2
3.Bundesilga-GERMANY 84.0
4.La Liga-SPAIN 83.5
5.Ligue 1-FRANCE 83.1
6.Brasilia Serie A-BRAZIL 80.1
Sasa Wewe Mzee Unaleta Mahaba Bila Vielelezo. LIGI YA BRAZIL NI NAMBA SITA DUNIANI. Over
By the way una uhakika FIFA ndio wametoa hizo points ? Nadhani (sina uhakika) FIFA wanatoa points kwa Timu za Taifa (International Rankings) kutokana na mashindano ya Kimataifa ambayo Timu za Taifa zinacheza na ugumu wa mashindano hayo.... ila UEFA na Taasisi kama IFFHS ndio zinafanya hivyo (na haya mambo ni subjective) na according to IFFHS Italian League ndio Strongest (Sasa bado naweza ku argue Strongest sio necessarily Bora)
 
Back
Top Bottom