Ujue nimekaa hapa namuuliza dogo swali hili hili. LolHivi hawa ni BVB au kuna wengine? 😃😃
Dah Williams anafanya ujinga wa DiarraDaah! Kipa kachoma
Goli jepesi kabisa. Williams sijui alikuwa anawaza wapi?Duuh! Wamerudisha
Yaani kwa status yake huu ni uzembe wa hali ya juu. Lol.Dah Williams anafanya ujinga wa Diarra
Ameuzi sanaYaani kwa status yake huu ni uzembe wa hali ya juu. Lol.
Katoa BokoAfrica is no good nn hiki kafanya williams au kabeti😂😂😂😂
NDIO NI HAWA HAWA Wengne watoke wap a.k.a WAJERUMAN WAZEE WA KUGAWA DOZHivi hawa ni BVB au kuna wengine?
Kabisa.Ameuzi sana
Mkuu uran Salam.Kwanini wawepo?
Lakin chelsea kabeba uefa msimu 2021/2022Mkuu uran Salam.
Hilo swali niliuliza baada ya mkuu mmoja kutoa jibu jepesi kwamba kwa Ulaya wawakilishi ni hii michuano ni timu mbili toka kwenye zile ligi kubwa za Ulaya hasa ikizingatiwa kwa UEFA club ranking Chelse IPO chini ya Leverpol
Mkuu uran Salam.
Hilo swali niliuliza baada ya mkuu mmoja kutoa jibu jepesi kwamba kwa Ulaya wawakilishi ni hii michuano ni timu mbili toka kwenye zile ligi kubwa za Ulaya hasa ikizingatiwa kwa UEFA club ranking Chelse IPO chini ya Leverpol
Dah! Sawa bana...NDIO NI HAWA HAWA Wengne watoke wap a.k.a WAJERUMAN WAZEE WA KUGAWA DOZ