Chick_tz
JF-Expert Member
- Mar 2, 2025
- 2,365
- 3,066
Lakini unaona Tim za Brazil zinacho fanyaMuongo Mzee, League ya Brazil Sio Namba Moja
Lakini unaona Tim za Brazil zinacho fanyaMuongo Mzee, League ya Brazil Sio Namba Moja
Mzee Hizi Ranks Zinatolewa na FIFA Wenyewe, Sio Unakuja Kudanganya danganya Watu, Na Points Zipo Kama IfuatavyoTaja basi hiyo namba moja uliyo kalilishwa basi
Naona, Na Zikiendeleza Mwenendo Huu Mzuri, Ligi Yao Itapanda Nafasi KadhaaLakini unaona Tim za Brazil zinacho fanya
Vigezo ni vipi ? Kwa mimi mdau ambaye mashindano Ligi its all about Ushindani ligi kubwa / kali kwangu duniani ni hii hapaMzee Hizi Ranks Zinatolewa na FIFA Wenyewe, Sio Unakuja Kudanganya danganya Watu, Na Points Zipo Kama Ifuatavyo
1. Premier League - ENGLAND 85.9
2. Serie A-ITALY 84.2
3.Bundesilga-GERMANY 84.0
4.La Liga-SPAIN 83.5
5.Ligue 1-FRANCE 83.1
6.Brasilia Serie A-BRAZIL 80.1
Sasa Wewe Mzee Unaleta Mahaba Bila Vielelezo. LIGI YA BRAZIL NI NAMBA SITA DUNIANI. Over
Sawa mkuu sasa nimemdanganya nani unaweza kuleta chanzo chako cha taarifa kuliko kuandika zinatolewa na fifa 😃 😄 😃 😀Mzee Hizi Ranks Zinatolewa na FIFA Wenyewe, Sio Unakuja Kudanganya danganya Watu, Na Points Zipo Kama Ifuatavyo
1. Premier League - ENGLAND 85.9
2. Serie A-ITALY 84.2
3.Bundesilga-GERMANY 84.0
4.La Liga-SPAIN 83.5
5.Ligue 1-FRANCE 83.1
6.Brasilia Serie A-BRAZIL 80.1
Sasa Wewe Mzee Unaleta Mahaba Bila Vielelezo. LIGI YA BRAZIL NI NAMBA SITA DUNIANI. Over
Sawa Mkuu, Hii ndio Ligi Bora DunianiVigezo ni vipi ? Kwa mimi mdau ambaye mashindano Ligi its all about Ushindani ligi kubwa / kali kwangu duniani ni hii hapa
![]()
The Most Competitive League in the Word
Bado game nne timu ya mkiani inaweza kuchukua kombe na inayoongoza kushuka daraja, point 11 zinatenga timu ya kwanza na ya mwisho ...... The Algerian Premier League title race is ridiculously tight - ESPN FC UPDATE Bado game 3 # Team MP W D L F A D P Last 5 matches H2H 1 ES Sétif 27...www.jamiiforums.com
Tujifunze kutofautisha ugumu wa ligi na ubora wa ligiSawa Mkuu, Hii ndio Ligi Bora Duniani
😀 Yeye Anasema Ligi ya Algeria ndio Bora Duniani, Sasa Unamjibuje Mtu kama Huyo.Tujifunze kutofautisha ugumu wa ligi na ubora wa ligi
Ubora ni nini ? Na ligi ni nini ? Kumbuka hata ukisema ugumu Ligi ambayo kila mtu anaweza kumfunga mwingine ni ngumu kuliko mmoja anakuwa maili kumi na wengine wanafuatia kwa mbali.... au hata unajua maana ya ligi ? Sasa ubora wa ligi ambayo unaweza kupanga matokeo 70 percent kutokana na gaps in classes wewe ndio unaona ni bora ?😀 Yeye Anasema Ligi ya Algeria ndio Bora Duniani, Sasa Unamjibuje Mtu kama Huyo.
Ukinijibu qoute me ili nikuone...; Ugumu wa ligi ya Kenya upo wapi in comparison labda na huko Scotland ? Miundombinu na kutazamwa na uwekezaji inawezekana pia sio necessarily kufanya ikawa bora; ila competitiveness ni kigezo kikubwa kabisa katika kitu ambacho kinaitwa competition katika kudetermine ubora (after all its called competition)Kwa mfano ligi ya kenya na ligi ya scotland naweza kusema ligi ya kenya ni ngumu kuliko ya scotland lakini lig ya scotland ni bora zaidi utaanza kimiundombinu,kutazamwa,uwekezaji lakini Lakini pia ligi ya kenya inahusisha tim mbov zinazo kamiana huku scotland ina tim bora lakini celtic kawazid wengne kwenye uwekezaji. -UGUMU WA LIGI SIO KIGEZO MUHIMU CHA UBORA WA LIGI
Nilitaka kumaanisha ligi ngumu inaweza kuhusisha team zenye uwezo mdogoUkinijibu qoute me ili nikuone...; Ugumu wa ligi ya Kenya upo wapi in comparison labda na huko Scotland ? Miundombinu na kutazamwa na uwekezaji inawezekana pia sio necessarily kufanya ikawa bora; ila competitiveness ni kigezo kikubwa kabisa katika kitu ambacho kinaitwa competition katika kudetermine ubora (after all its called competition)
Ligi ya Kombe la Mbuzi kitaa inaweza ikawa bora kuliko ligi za pre season zinazokutanisha kina Real Madrid, Arsenal and the likes (playing for nothing); Narudia tena huwezi ukaondoa kigezo cha competitiveness katika determination ya Ubora katika kitu kinachoitwa competition...
Yes ni kweli ila sababu ni league ya kutafuta nani mbabe itakuwa na mvuto hata kama ni ligi ya mtaani au mashule; kuliko ile ambayo timu moja au mbili zinajua kabisa mimi ndio mshindi hata kabla ligi haijaanza; Wengine wanakuja uwanjani sio kutafuta ushindi bali kupunguza idadi ya magoli...Nilitaka kumaanisha ligi ngumu inaweza kuhusisha team zenye uwezo mdogo
Vip hii ya bayern vs boca jrNasubiri game ya Mamelodi na Borussia Dortmund. Itakuwa game bora kabisa
Haina mvuto. Bayern atashinda goli nyingiVip hii ya bayern vs boca jr
Dortmund wanakiwasha saa ngapi?Vip hii ya bayern vs boca jr
Brazilian wanaubondaImekuwaje tena wakati mechi iliyopita alitandaza soka safi kabisa?
Anacheza na nani?