2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

IMG_7133.jpeg
 
kwenye lig kubwa 4 ulaya wamechukua tim mbil kila taifa kwa england chelsea,man city wamefanya vizur kwa kubeba ubingwa
Samahani mkuu Chick_tz .
Mbona umejibu kirahisi rahisi Sana? Wapi bingwa wa Italia, Spain na England? Pili Angalia UEFA Club ranking halafu urudi kwenye jibu lako?
Ahsante
 
Samahani mkuu Chick_tz .
Mbona umejibu kirahisi rahisi Sana? Wapi bingwa wa Italia, Spain na England? Pili Angalia UEFA Club ranking halafu urudi kwenye jibu lako?
Ahsante
Mim kigezo kikubwa nilicho kielewa ni hicho labda kama kuna vigezo vingne nisivyo vijua maana naona hata ureno wana tim mbili
 
Back
Top Bottom