Nasubir kwa hamu mech ya BAYERN VS BENFICA Nafikir kutakuwa na mnyukano mkali wa magoriSeattle wanakiwasha sasa Vs Botafogo.
Watu wanakiwasha...
The 1st good game ya haya mashindano ni Palmeiras vs FC Porto iliyomalizika 0-0
Sasa wale ata wewe na mie tukipanga timu za mataani kwetu tunawafunga.Eti bomu mochwari. Lol
Aisee full burudaniRatiba ya leo.
Saa 4:00 usiku
Chelsea vs Los Angeles FC
Saa 7:00 usiku
Boca Juniors vs Benfica
Saa 10:00 usiku
Flamengo vs Esperence de Tunis
Cammilla
Ilimaanisha Barcola mchezaji wa psg sio barcelonaBarcelona haishiriki hii michuano. Amsubiri R.Madrid, Manchester City au PSG ndio atapambana nazo.
Game ilichangamka sana , Palmeiras wanacheza mpira wenye skills nzuri ila pasi zao nyingi zilikuwa fupi ila za kiufundiSeattle wanakiwasha sasa Vs Botafogo.
Watu wanakiwasha...
The 1st good game ya haya mashindano ni Palmeiras vs FC Porto iliyomalizika 0-0
Halafu yana nguvu.Game ilichangamka sana , Palmeiras wanacheza mpira wenye skills nzuri ila pasi zao nyingi zilikuwa fupi ila za kiufundi
Game ya south america ina ufundi na uhuni mwingi 🤣🤣 walikuwa wanawashangaa benfica kujiangusha kwa vi foul vidogo kama vile , wazungu walaini sana bora yule black left wingHalafu yana nguvu.
Ukisikia mtu ana miaka 21.
Unaogopa