uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 14,683
- 20,460
Athletico waliharibu sanaPSG 1 - 0 Atletico De Madrid
Athletico waliharibu sanaPSG 1 - 0 Atletico De Madrid
Ishu ni timings aisee...Mashindano mazuri kwa wapenda soka angalau yanaleta Radha tukingojea ligi zianze
Kwa sisi lakini ulaya na Asia wao wanaangalia vizuri tu na ndio mashabiki wa kweli sisi ni oyah oyahIshu ni timings aisee...
Tunatofautiana sana masaa
😃😃😃 Hata Ulaya wanaathirika sana na muda mfano hii game ya Sasa hivi.Kwa sisi lakini ulaya na Asia wao wanaangalia vizuri tu na ndio mashabiki wa kweli sisi ni oyah oyah
Football for all nadhani kule wameanza ila familia itarudi Ulaya na Saudia mambo yakikolea hili kombe litakuja kuwa kubwa sana is a matter of time😃😃😃 Hata Ulaya wanaathirika sana na muda mfano hii game ya Sasa hivi.
London ni saa tisa asubuhi! Unaangaliaje?
Yeah! Ila kuna BayernFootball for all nadhani kule wameanza ila familia itarudi Ulaya na Saudia mambo yakikolea hili kombe litakuja kuwa kubwa sana is a matter of time
Karibu kuwaza final inakuwa Madrid vs PSG lazima macho yote yawe state
Hujakosea mkuu viwanja vyote mali za clubsKwa mzungu kutabaki kwa mzungu tu.
Siajabu hivyo viwanja ni mali ya vilabu vyao.
Hao nani botafogo na Seattle!?Wamarekani wanapigwa
Dah!Tatizo mida ya wanga