2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

😁😁😁Tuliwatahadharisha humu tukawapuuza.

Waombeeni PSG second half wafunge angalau 6, maana sisi tukirudi tunaanzia tulipoishia
Kabisa wakabisha chelsea katika fainal za makombe makubwa ni fainali moja tu 2008 uefa dhidi ya man u ndo ilishindwa kutwaa tena ilishindwa kwa penati kwahio chelsea ni mfupa mgumu kwelikweli ikifika hatua ya fainal
 
Back
Top Bottom