2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

Pole, kuna mkaka huyo yeye huwa abet, ila akisema hii timu inashinda lazima inashinda. Leo kasema Chelsea inashinda, nikamuuloza tutatoka kweli kwa hawa PSG akasema 100%. Naona sasa
Mwee isije ikawa huyo jamaaa tunamfahamu wote maana kuna fala mmoja alisema chelsea atashinda hii mechi nikamwambia wee ebu wacha ujinga...psg timu imekamilika kabisa hii.
Kesho atanichekaje
 
Biashara imeisha. Real Madrid na Inter Milan hazikuwa kipimo sahihi cha psg. Walipimwa na Bayern na sasa wamepimwa na Chelsea. Hiki ni kipimo sahihi kabisa kwa psg.
Nadhani Chelsea alijiandaa kucheza dhidi ya PSG ila PSG hawakujiandaa kucheza dhidi ya Chelsea bali walijiandaa kucheza fainali. Walikariri kuwa wao ni bora zaidi, ila Chelsea walijipanga kuwakabiri PSG kwa kuchambua mapungufu yao na kuyatendea kazi
 
leo inataka kugoma
IMG_7593.jpeg
 
Back
Top Bottom