Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,335
Nilikua darasa la tatu, nilikua tu nashangaa shangaa na shulenikafungwa mpaka nyerere alipomaliza kuzikwa
Majira ya saa nne asubuhi au niseme saa tano kasoro hivi nikiwa katika viunga vya mabweni ya Shule ya Sekondari Iyunga baada ya purukushani za kupata chai kwa maandazi ya mafuta ya mawese, taarifa ya kifo cha Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilikuwa dhahiri.
Je wewe ulikuwa wapi ukifanya nini?
Kumbuka.